Hehehe ushauri utakataa ndo maana utanunua cha wizi alafu kwa taxi unakua umewaonyesha jeuri kwamba huwahitaji maana una kagari kako!Kha..tena alafu fikiria kama hununui ika unakodisha!Wakati wowote na sehemu yoyote mwenye mali akiitaka ameitaka!
Habari zenu wapendwa!
Leo naomba niwaulize swali.Umekutana na mwanamke/mwanaume ambae aliwahi kua kwenye ndoa na anakwambia bila maelezo ya ziada!Baada ya kua karibu sana unaona uulize kidogo chanzo cha kuachana..muda waliokua pamoja na muda gani tangu wameachana!Unapata majibu yako ila la tatu anakujibu kwamba imepita muda fulani tangu tumetengana..labda tuseme zaidi kidogo ya mwaka!Ndoa haijavunjwa kisheria ni wao tu hawaishi pamoja!
Je mtu kama huyo achukuliwe kama bado ni mke/mume wa mtu?
mimi kama kisheria wamepeana talaka hao nasema wameachana,kama bado talaka wametengana na hapo inakuwa kosa kuwa na uhusiano na mtu kama huyo wa kimapenzi.
</p>Hahaha KING'ASTI asante mpendwa!Umenifurahisha kweli ila kushindikana sio mpaka iwe ndoani!Hata mahusiano tu yasiyo na vitanzi watu wanaachwa sasa kila mtu akisema anataka ambaye hajawahi kuachwa watapatikana wangapi??Alafu wapo wanaosema ukweli bwana..hata kama yeye ndo aliyekua tatizo..japo ni wachache sana!
Hehehe reference zipo sema unatakiwa kutafuta mwenyewe sio uombe!hapo kwenye ukweli mwenzangu duh!siku hizi mtu akinitokea mi lazma anipe referees watatu na wenye mali zisizohamishika.manake kuna tapeli unakutana nalo unawekeza moyo,akili na mali zako afu unakuta kimeo.hivi kwenye mapenzi kwa nini tusitafute reference from the previous ex?ila we shldnt be biased sasa,lol!
Mwenzangu...kisa cha kujitumbukiza motoni huku najua fika ntaungua ni nini?
Lizz bora ukaungue na life umiponda kuliko ukaunguwe na hata hukufaidi kuungua kupo tu unzani utakwepa kwa jema gani tulifanyalo dunia yetu ya leo, hebu kula mali kufa kwaja
Hili suala sio geni kabisa kwangu, nina mfano mzuri sana ambao umehusisha ndugu yangu.
Kwa sababu umeuliza, jibu ni kwamba bado ni wanandoa halali.
Kwenye ndoa waliapa kuvumiliana ktk shida na raha, so kutengana ni sehemu ya shida
So bado ni wanandoa halali, ingawaje kila mmoja anaweza akapata mwenza mwingine wa nje ya ndoa na akazaa nae kutokana na utengano wao, lakin ndoa inasimama palepale