Kuachana si uadui

Yan we acha Tu nilishasajili SIM card mpk upande WA tigo nmefkia kikomo kisa Yule mwanamke mwezi uliopita nilipoteza cm Yan nilijikuta nna furaha na Amani sana maana sipo hewan naishi kama Osama na nimesema stanunua cm hivi karibuni acha nikae Tu hivi

Mbaya zaidi kuna ndugu zangu wananizunguka huwa wanachart Naye na ndo wanaompa namba zangu Yan hawa ndugu hawa haya bhana

Hayawunayopitia kwa mzazi mwenza si madogo
 
Si unblock na umshitaki kwa matusi wewe una mwendekeza na ume mu miss. Ngoja arudishe majeshi ategeme mimba nyingine ndo utajua hujui
 
Dah hebu itoe weka hata picha ya mkewe ili ajisikie vibaya kuwa unamla.....!
 
Si unblock na umshitaki kwa matusi wewe una mwendekeza na ume mu miss. Ngoja arudishe majeshi ategeme mimba nyingine ndo utajua hujui
Si unblock na umshitaki kwa matusi wewe una mwendekeza na ume mu miss. Ngoja arudishe majeshi ategeme mimba nyingine ndo utajua hujui
Sina muda wa kuanza kujibzana mahakaman pili simtaki wala staki hata kumskia tatu nilishahama na mkoa aliopo nipo mbali nae sn nilipata uhamisho nne Acha kukalili wengne tukisemaga noo tunamaanisha
 
Sina muda wa kuanza kujibzana mahakaman pili simtaki wala staki hata kumskia tatu nilishahama na mkoa aliopo nipo mbali nae sn nilipata uhamisho nne Acha kukalili wengne tukisemaga noo tunamaanisha
Mbona makasiriko hivo wewe ndo umeleta mada unalalamika sasa Mimi kutoa maoni ni kosa dah.
 
Mbona makasiriko hivo wewe ndo umeleta mada unalalamika sasa Mimi kutoa maoni ni kosa dah.
Wewe hujatoa maoni Tu Bali pia umenilisha mtazamo ambao mi sina huo WA kumiss kitu ambacho hakipo yaan hata nikimskia Tu nashikwa na hasira sana Yan nmetokea kumchukia sana narudia tena ninamchukia sn simpendi kabisa na Kama ningendelea ishi Naye uwenda ningekuwa jera sku nyng sn yaani simpendi hasa staki hata skia hbr zake staki kbs sjui nisemeje Tu ni adui yangu namba moja kibnadamu
 
Dah mapenz ya police bana umenikumbusha mbali sana.siku moja nimepita kituo cha police pangani(Ilala) nikaitwa pale lockup kukutwa mwana kawekwa ndan na mzaz mwenzie ..! Nikaenda mtoa mwana nikampeleka mageton kuoga nikampa nauli akasepa kwa ndugu zake ...Haikupita wiki nakutana na mzazi mwenzie wameshikana kiuno....hovyooooooo

KIUFUPI HUYO MZAZI MWENZIO ANAKUPENDA HUENDA KUNA MSUKUMO ALIUPATA NJEE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…