Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayawunayopitia kwa mzazi mwenza si madogo.Unamaanisha Nn
😂 😂 😂Haapooo tuuu ....😋😋
Kwa kweli nafaidi saaaaaaana!We bibi huwa unasisimua, anafaidi sana anaekunanii.
😉😉💪 💪💪💪💪 🕺 🕺
Ngoja baadae kidogo! Nipo gym! Leo unataka kuchezea rhomboid au trapezius?......📞☎️📝✈️ 🇺🇸
Kwa kweli nafaidi saaaaaaana!
Good gal!Both baby Lacoste 🐊 😍
I want both...😋😋.
lipia tangazo DOGOnajua sn kutmb
Hayawunayopitia kwa mzazi mwenza si madogo
Good gal!
Now leave the door open….
Si unblock na umshitaki kwa matusi wewe una mwendekeza na ume mu miss. Ngoja arudishe majeshi ategeme mimba nyingine ndo utajua hujuiYan we acha Tu nilishasajili SIM card mpk upande WA tigo nmefkia kikomo kisa Yule mwanamke mwezi uliopita nilipoteza cm Yan nilijikuta nna furaha na Amani sana maana sipo hewan naishi kama Osama na nimesema stanunua cm hivi karibuni acha nikae Tu hivi
Mbaya zaidi kuna ndugu zangu wananizunguka huwa wanachart Naye na ndo wanaompa namba zangu Yan hawa ndugu hawa haya bhana
Dah hebu itoe weka hata picha ya mkewe ili ajisikie vibaya kuwa unamla.....!Mkuu usinitukane matusi mazto kama Hilo aisee ni Bora Tu niende jera au nirudi kwa Yule mwanamke kuliko kuwa CCM majizi ya taifa hili nimeweka hiyo logo Yao maana kuna lijinga limoja linaitwa kamanda asiyechoka limeweka logo ya CDM kutwa nzima n kukashifu mbowe na CDM na nikaona usiwe issue nikatupia hiyo yao
Si unblock na umshitaki kwa matusi wewe una mwendekeza na ume mu miss. Ngoja arudishe majeshi ategeme mimba nyingine ndo utajua hujui
Sina muda wa kuanza kujibzana mahakaman pili simtaki wala staki hata kumskia tatu nilishahama na mkoa aliopo nipo mbali nae sn nilipata uhamisho nne Acha kukalili wengne tukisemaga noo tunamaanishaSi unblock na umshitaki kwa matusi wewe una mwendekeza na ume mu miss. Ngoja arudishe majeshi ategeme mimba nyingine ndo utajua hujui
Mbona makasiriko hivo wewe ndo umeleta mada unalalamika sasa Mimi kutoa maoni ni kosa dah.Sina muda wa kuanza kujibzana mahakaman pili simtaki wala staki hata kumskia tatu nilishahama na mkoa aliopo nipo mbali nae sn nilipata uhamisho nne Acha kukalili wengne tukisemaga noo tunamaanisha
Wewe hujatoa maoni Tu Bali pia umenilisha mtazamo ambao mi sina huo WA kumiss kitu ambacho hakipo yaan hata nikimskia Tu nashikwa na hasira sana Yan nmetokea kumchukia sana narudia tena ninamchukia sn simpendi kabisa na Kama ningendelea ishi Naye uwenda ningekuwa jera sku nyng sn yaani simpendi hasa staki hata skia hbr zake staki kbs sjui nisemeje Tu ni adui yangu namba moja kibnadamuMbona makasiriko hivo wewe ndo umeleta mada unalalamika sasa Mimi kutoa maoni ni kosa dah.
Dah mapenz ya police bana umenikumbusha mbali sana.siku moja nimepita kituo cha police pangani(Ilala) nikaitwa pale lockup kukutwa mwana kawekwa ndan na mzaz mwenzie ..! Nikaenda mtoa mwana nikampeleka mageton kuoga nikampa nauli akasepa kwa ndugu zake ...Haikupita wiki nakutana na mzazi mwenzie wameshikana kiuno....hovyoooooooHabari za wkend wakuu hongereni kwa kuchanjwa pia kukubali tozo ya kizalendo
Wakati nmemalza chuo nilianza kuishi na mdada ambaye tulimalza mwaka mmoja lakini vyuo tofauti
Tulifanikiwa kupata watoto wawili mmoja WA kike na WA pili WA kiume ( marehemu )
Kiukweli Dada nilimpenda sn ingawa yeye alikuwa kama ananitumia Tu ili kupunguza ugumu WA maisha chuoni Ila mpka kufikia kuishi Naye mama