Kuachia ushuzi mara kwa mara ni tatizo au dalili ya tatizo la kiafya?

Hapo mkuu mfumo wa mmeng'enyo jna shida, hasa kama uo ushuzi unatoa harufu kali.
Jaribu kujifunika gubigubi kwenye ilo duvet lako af shusha ushuzi mkali, ukiona unanuka sana basi zitakua PUD yani vidonda vya tumbo

🚀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…