Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu kwani umesahauMtu anauliza jambo, watu wanaongelea ushoga,
Yaan wabongo wanapenda kujadili ushoga.
daah[emoji86]Marinda yako hayajakuwa compromised? Tuanzie hapo kwanza!
Hakika kabisaa.mkuu kwani umesahau
"kati ya watz wanne, watatu wana kichaa"
Poza injini Mzee, wasiwasi wa nini?Eti wakuu? Kuachia ushuzi mara kwa mara ni tatizo au dalili ya tatizo la kiafya?
Tusemezane
Nicheki kwa msada na ushauri zaidi 0744312003..Pole kwa changamoto : inaweza kuwa ulcers,hernia au flatulence .Passing gas kwa binadamu ni kawaida ila ikizidi Sana Hilo mi tatizoEti wakuu? Kuachia ushuzi mara kwa mara ni tatizo au dalili ya tatizo la kiafya?
Tusemezane