cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 96,456 Reaction score 156,324 Apr 28, 2024 #21 Mtu anauliza jambo, watu wanaongelea ushoga, Yaan wabongo wanapenda kujadili ushoga.
Braza Kede JF-Expert Member Joined Nov 1, 2012 Posts 3,840 Reaction score 6,844 Apr 28, 2024 Thread starter #22 cocastic said: Mtu anauliza jambo, watu wanaongelea ushoga, Yaan wabongo wanapenda kujadili ushoga. Click to expand... mkuu kwani umesahau "kati ya watz wanne, watatu wana kichaa"
cocastic said: Mtu anauliza jambo, watu wanaongelea ushoga, Yaan wabongo wanapenda kujadili ushoga. Click to expand... mkuu kwani umesahau "kati ya watz wanne, watatu wana kichaa"
Braza Kede JF-Expert Member Joined Nov 1, 2012 Posts 3,840 Reaction score 6,844 Apr 29, 2024 Thread starter #23 Morning_star said: Marinda yako hayajakuwa compromised? Tuanzie hapo kwanza! Click to expand... daah[emoji86]
Morning_star said: Marinda yako hayajakuwa compromised? Tuanzie hapo kwanza! Click to expand... daah[emoji86]
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 96,456 Reaction score 156,324 May 1, 2024 #24 Braza Kede said: mkuu kwani umesahau "kati ya watz wanne, watatu wana kichaa" Click to expand... Hakika kabisaa.
Braza Kede said: mkuu kwani umesahau "kati ya watz wanne, watatu wana kichaa" Click to expand... Hakika kabisaa.
Analyse JF-Expert Member Joined Jan 19, 2014 Posts 17,637 Reaction score 47,413 May 1, 2024 #25 Braza Kede said: Eti wakuu? Kuachia ushuzi mara kwa mara ni tatizo au dalili ya tatizo la kiafya? Tusemezane Click to expand... Poza injini Mzee, wasiwasi wa nini?
Braza Kede said: Eti wakuu? Kuachia ushuzi mara kwa mara ni tatizo au dalili ya tatizo la kiafya? Tusemezane Click to expand... Poza injini Mzee, wasiwasi wa nini?
D D-RICH Senior Member Joined Oct 17, 2022 Posts 100 Reaction score 158 Jul 6, 2024 #26 Braza Kede said: Eti wakuu? Kuachia ushuzi mara kwa mara ni tatizo au dalili ya tatizo la kiafya? Tusemezane Click to expand... Nicheki kwa msada na ushauri zaidi 0744312003..Pole kwa changamoto : inaweza kuwa ulcers,hernia au flatulence .Passing gas kwa binadamu ni kawaida ila ikizidi Sana Hilo mi tatizo
Braza Kede said: Eti wakuu? Kuachia ushuzi mara kwa mara ni tatizo au dalili ya tatizo la kiafya? Tusemezane Click to expand... Nicheki kwa msada na ushauri zaidi 0744312003..Pole kwa changamoto : inaweza kuwa ulcers,hernia au flatulence .Passing gas kwa binadamu ni kawaida ila ikizidi Sana Hilo mi tatizo