Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Irabu zinapongozana kwenye neno moja huwa linayeyushwa na ndio maana tunatamka Kingereza badala ya Kiingereza (hapo tayari irabu "i" zimeongozana)Umeanza kuwa na lugha ya staha! Hivi tunaita Kingereza au Kiingereza?
NOTED, hii ni kwa Kiswahili tu nadhani???Irabu zinapongozana kwenye neno moja huwa linayeyushwa na ndio maana tunatamka Kingereza badala ya Kiingereza (hapo tayari irabu "i" zimeongozana)
Ni kwa kiswahili mfano ualimu...tukija kwa yule anaefundisha hatusemi mualimu ....tunasema mwalimu...nilikutana na jamaa alinipiga shule tu kwenye mazungumzo ya kawaida ila sio mtaalamu wa lugha kivileNOTED, hii ni kwa Kiswahili tu nadhani???
Nimejifunza nami, asanteNi kwa kiswahili mfano ualimu...tukija kwa yule anaefundisha hatusemi mualimu ....tunasema mwalimu...nilikutana na jamaa alinipiga shule tu kwenye mazungumzo ya kawaida ila sio mtaalamu wa lugha kivile