Kwa ujumla mwajili anapaswa afate taratibu zote kama zilivyoainishwa katika sheria ya Employment and labour ralation Act s.38 na mwajiliwa atalipwa kwa kindi chote kile kilichokua kimesalia katika mkataba wake
N.B hii ni kwa mfanyakazi mwenye mkataba aina za mikataba zinapatikana S.14
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums