Nchi zilizoendelea 'You are innocent until proven guilty" ila nchi za kimasikini ni "you are guilty until proven innocent".nimekuelewa,kwa hiyo Kuna uwezekano wa mtu akafanya kosa lililowazi lakini Kama mshitaki akisema hataki kesi iendelee inakuwa imeisha!??
Mkuu katika kesi ngumu na zinazohitaji umakini ni pamoja na kesi za jinai kimsingi ili mtu atiwe hatiani ni lazima upande wa jamuhuri wa prove beyond reasonable doubt pasipo na shaka uhusika wa mtuhumiwawataalamu wa sheria naombeni mnifahamishe hii imekaa vipi!?
huyu binti alishirikiana na mganga kumuua mama yake na kuufukia mwili wa mama yake nje ya nyumba yao,alikamatwa na polisi walifika mpaka alipomfukia mama yake na taratibu zingine zilifuata mpaka kupelekwa polisi na kesi kuendelea bahati mbaya sikufuatilia Tena nikisubiri TU hukumu yake[emoji16][emoji16]Sasa nimestuka Jana kuona ameachiwa huru na upande wa mashitaka Hauna haja ya kutaka kuendelea na kesi...
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Mkuu katika kesi ngumu na zinazohitaji umakini ni pamoja na kesi za jinai kimsingi ili mtu atiwe hatiani ni lazima upande wa jamuhuri wa prove beyond reasonable doubt pasipo na shaka uhusika wa mtuhumiwa
Inapotokea upande wa mashitaka kushindwa kupata ushahidi basi mahakama inaweza kumwachia mlalamikiwa
Au kupitia Dpp wanaweza wakaweka nore prosque kuwa hawana haja ya kuendelea na shitaka
Inavyoonekana vyombo vyetu vya habari vinakosa weledi kwa kumtangaza mtu au mtuhumiwa kama vile amepatikana na hatia
Tusisahau kutumiwa na jambo lingine na kutiwa hatiani ni jambo lingine