babu kavu
Senior Member
- Jul 4, 2022
- 120
- 128
wataalamu wa sheria naombeni mnifahamishe hii imekaa vipi!?
huyu binti alishirikiana na mganga kumuua mama yake na kuufukia mwili wa mama yake nje ya nyumba yao,alikamatwa na polisi walifika mpaka alipomfukia mama yake na taratibu zingine zilifuata mpaka kupelekwa polisi na kesi kuendelea bahati mbaya sikufuatilia Tena nikisubiri TU hukumu yake[emoji16][emoji16]Sasa nimestuka Jana kuona ameachiwa huru na upande wa mashitaka Hauna haja ya kutaka kuendelea na kesi...
huyu binti alishirikiana na mganga kumuua mama yake na kuufukia mwili wa mama yake nje ya nyumba yao,alikamatwa na polisi walifika mpaka alipomfukia mama yake na taratibu zingine zilifuata mpaka kupelekwa polisi na kesi kuendelea bahati mbaya sikufuatilia Tena nikisubiri TU hukumu yake[emoji16][emoji16]Sasa nimestuka Jana kuona ameachiwa huru na upande wa mashitaka Hauna haja ya kutaka kuendelea na kesi...