Kuachiwa kwa Sanga ni moja ya maridhiano aliyosema Mbowe, hata kama hatumpendi lakini apewe heshima yake

Kuachiwa kwa Sanga ni moja ya maridhiano aliyosema Mbowe, hata kama hatumpendi lakini apewe heshima yake

Joined
Nov 27, 2024
Posts
43
Reaction score
127
Katika moja ya mambo ya maridhiano baina ya Chadema na Mhe.Rais ilikuwa inahusu wafungwa wa kisiasa, Chadema waliomba mchakato wa kisheria uweze kufanyika ili watu wao waliokuwa magerezani waachiwe.

Mbowe aliliongea suala hili akipinga wale waliokuwa wanadai kuwa maridhiano hayakuwa na tija wala faida yoyote.Kimsingi Lissu ndio alisema maridhiano hayana maana na hayakuwa na faida.

Mbowe alikana maridhiano kutokuwa na faida, alisema yapo mambo walifanikiwa na yapo ambayo hawakufanikiwa.

Moja ni hili la watuhumiwa wao kuachiwa magerezani, kweli waliachiwa wote wakabakia mawili, hata Kinana alipokuwa makamu mwenyekiti wa CCM alitolea ufafanuzi suala hilo, waliobakia walikuwa na kesi za mauaji na zilikuwa zinaendelea mahakamani ikiwemo hii ya Sanga.

Kwahiyo hata Sanga kuachiwa leo na mahakama naweza kutabiri kuwa ni utekelezaji wa yale maridhiano ya kipindi kile.

Hivyo naona kabisa maridhiano ya kisiasa ni muhimu sana kuliko kama anavyodhani Lissu,ambaye ni msomi mzuri asiyekuwa na maarifa.

Kwa sababu hata huko ulaya, nchi zinapigana vita huku zikiendelea kukaa mezani.Huwezi kusema maridhiano hayana maana.
 
Katika moja ya mambo ya maridhiano baina ya Chadema na Mhe.Rais ilikuwa inahusu wafungwa wa kisiasa, Chadema waliomba mchakato wa kisheria uweze kufanyika ili watu wao waliokuwa magerezani waachiwe.

Mbowe aliliongea suala hili akipinga wale waliokuwa wanadai kuwa maridhiano hayakuwa na tija wala faida yoyote.Kimsingi Lissu ndio alisema maridhiano hayana maana na hayakuwa na faida.

Mbowe alikana maridhiano kutokuwa na faida, alisema yapo mambo walifanikiwa na yapo ambayo hawakufanikiwa.

Moja ni hili la watuhumiwa wao kuachiwa magerezani, kweli waliachiwa wote wakabakia mawili, hata Kinana alipokuwa makamu mwenyekiti wa CCM alitolea ufafanuzi suala hilo, waliobakia walikuwa na kesi za mauaji na zilikuwa zinaendelea mahakamani ikiwemo hii ya Sanga.

Kwahiyo hata Sanga kuachiwa leo na mahakama naweza kutabiri kuwa ni utekelezaji wa yale maridhiano ya kipindi kile.

Hivyo naona kabisa maridhiano ya kisiasa ni muhimu sana kuliko kama anavyodhani Lissu,ambaye ni msomi mzuri asiyekuwa na maarifa.

Kwa sababu hata huko ulaya, nchi zinapigana vita huku zikiendelea kukaa mezani.Huwezi kusema maridhiano hayana maana.
Maridhiano yalikuwa kwa jambo lingine. Kesi ya sanga haikuwa kesi
 
Sasa hivi hakuna haja ya kutetea chadema ya Mbowe,wanachama wanatekwa kutetea sera za chadema kumbe Mwenyekiti anakula hela za CCM, ni upuuzi wa kiwango cha juu kuhatarisha maisha kwa ajili ya chadema ya Mbowe
 
Katika moja ya mambo ya maridhiano baina ya Chadema na Mhe.Rais ilikuwa inahusu wafungwa wa kisiasa, Chadema waliomba mchakato wa kisheria uweze kufanyika ili watu wao waliokuwa magerezani waachiwe.

Mbowe aliliongea suala hili akipinga wale waliokuwa wanadai kuwa maridhiano hayakuwa na tija wala faida yoyote.Kimsingi Lissu ndio alisema maridhiano hayana maana na hayakuwa na faida.

Mbowe alikana maridhiano kutokuwa na faida, alisema yapo mambo walifanikiwa na yapo ambayo hawakufanikiwa.

Moja ni hili la watuhumiwa wao kuachiwa magerezani, kweli waliachiwa wote wakabakia mawili, hata Kinana alipokuwa makamu mwenyekiti wa CCM alitolea ufafanuzi suala hilo, waliobakia walikuwa na kesi za mauaji na zilikuwa zinaendelea mahakamani ikiwemo hii ya Sanga.

Kwahiyo hata Sanga kuachiwa leo na mahakama naweza kutabiri kuwa ni utekelezaji wa yale maridhiano ya kipindi kile.

Hivyo naona kabisa maridhiano ya kisiasa ni muhimu sana kuliko kama anavyodhani Lissu,ambaye ni msomi mzuri asiyekuwa na maarifa.

Kwa sababu hata huko ulaya, nchi zinapigana vita huku zikiendelea kukaa mezani.Huwezi kusema maridhiano hayana maana.



That's means sanga alishikiliwa kinyume cha Sheria au sio
 
Ni jambo jema Sanga kutoka gerezani japo sidhani kama alikuwa na makosa ya kumweka gerezani kwa muda wote huo.

Hii pia inazidi kudhihirisha kuwa Ccm wako upande wa Mbowe katika kumtetea ashinde uenyekiti na hili la kumtoa Sanga na kufuatiwa na nyuzi za dizaini hii ni kama kumpa credit Mbowe ili tuone maridhiano yana faida.

Mi nadhani wajumbe wote wa mkutano mkuu wamchague Lissu ili chama hiki kiendelee kuwa imara, Mbowe kalainishwa sana na pesa za mama Abdul kupitia mwanaye hana ubavu tena wa kupambania demokrasia na haki za watanzania. Anatakiwa apumzike kwenye uongozi.
 
Ni jambo jema Sanga kutoka gerezani japo sidhani kama alikuwa na makosa ya kumweka gerezani kwa muda wote huo.

Hii pia inazidi kudhihirisha kuwa Ccm wako upande wa Mbowe katika kumtetea ashinde uenyekiti na hili la kumtoa Sanga na kufuatiwa na nyuzi za dizaini hii ni kama kumpa credit Mbowe ili tuone maridhiano yana faida.

Mi nadhani wajumbe wote wa mkutano mkuu wamchague Lissu ili chama hiki kiendelee kuwa imara, Mbowe kalainishwa sana na pesa za mama Abdul kupitia mwanaye hana ubavu tena wa kupambania demokrasia na haki za watanzania. Anatakiwa apumzike kwenye uongozi.
Point hakuwa na makosa ni udhalimu wa CCM tupu
 
Point hakuwa na makosa ni udhalimu wa CCM tupu
Sasa inqkuwaje tuyasifu maridhiano wakati Sanga na mwenzake wamepotezewa muda mwingi gerezani kwa makosa ya kubambikiwa. Lissu anatakiwa kuwa mwenyekiti wa Chadema Mbowe ni Ccm muda mwingi sana imefika hatua kila mtu anaona undumilakuwili wake. Apumzike kwa heshima siyo atuulie chama ambacho angalau kina mwelekeo.
 
Sasa inqkuwaje tuyasifu maridhiano wakati Sanga na mwenzake wamepotezewa muda mwingi gerezani kwa makosa ya kubambikiwa. Lissu anatakiwa kuwa mwenyekiti wa Chadema Mbowe ni Ccm muda mwingi sana imefika hatua kila mtu anaona undumilakuwili wake. Apumzike kwa heshima siyo atuulie chama ambacho angalau kina mwelekeo.
Lisu ni kiboko ya CCM
 
Katika moja ya mambo ya maridhiano baina ya Chadema na Mhe.Rais ilikuwa inahusu wafungwa wa kisiasa, Chadema waliomba mchakato wa kisheria uweze kufanyika ili watu wao waliokuwa magerezani waachiwe.

Mbowe aliliongea suala hili akipinga wale waliokuwa wanadai kuwa maridhiano hayakuwa na tija wala faida yoyote.Kimsingi Lissu ndio alisema maridhiano hayana maana na hayakuwa na faida.

Mbowe alikana maridhiano kutokuwa na faida, alisema yapo mambo walifanikiwa na yapo ambayo hawakufanikiwa.

Moja ni hili la watuhumiwa wao kuachiwa magerezani, kweli waliachiwa wote wakabakia mawili, hata Kinana alipokuwa makamu mwenyekiti wa CCM alitolea ufafanuzi suala hilo, waliobakia walikuwa na kesi za mauaji na zilikuwa zinaendelea mahakamani ikiwemo hii ya Sanga.

Kwahiyo hata Sanga kuachiwa leo na mahakama naweza kutabiri kuwa ni utekelezaji wa yale maridhiano ya kipindi kile.

Hivyo naona kabisa maridhiano ya kisiasa ni muhimu sana kuliko kama anavyodhani Lissu,ambaye ni msomi mzuri asiyekuwa na maarifa.

Kwa sababu hata huko ulaya, nchi zinapigana vita huku zikiendelea kukaa mezani.Huwezi kusema maridhiano hayana maana.
Kuachiwa kwa kushinda kesi ni upendeleo wa maridhiano huo?

Kama ni matunda ya maridhiano kwa nini asiachiwe bila kufikishwa mahakamani?

Huwaga mnawaza kwa kutumia nini mnapoandika habari kama hizi?
 
Sanga Ameshinda Kesi ya Uongo aliyobambikiwa na Serikali katili ya ccm, hii haihusu Maridhiano
Bila "maridhiano" unaamini angeshinda ?

"...mtu yeyote wa Serikali anaweza kumpigia simu jaji akamwambia huyo usimpe hukumu hiyo, usimpe haki yake"

- Rostam (ulimi ulipoteleza)
 
Back
Top Bottom