Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

Ukiwa na Akili ya kuamini vya profeselii wa Olijino comedy ndugu Kabudi unakuwa tayari umefeli kwenye ule msemo wa Kikwete usemao vya kuambiwa changanya na vya kwako ndipo utafakari kwa umakini, watanzania wengi kwa sasa wakiambiwa jambo na profeselii Kabudi huwa hawaliamini kabsa ingawa bado wapo wachache bongo lala wanaamini kila wanacholishwa na Kabudi.
 

Kwa hiyo unakubali huna ushahidi ni majungu. Yaani katika karne hii ya internet unataka kuwaaminisha Watanzania wote kwamba kuna 10% and then hata Canada wanaficha maamuzi kwenye mahakama zao? Are you serious?

Tukuamini wewe Minyoo na jina lako la bandia ooops (sijui ni Minyoo ya nini hii?) kwamba hata Balozi wa Canada aliyejitahidi kuongea Kiswahili amekula njama na Serikali ya JPM kuwahadaa Watanzania? Tafuta ushahidi mkuu utoe duku duku lako maana mkulima kesi imemshinda itabidi tu aongee vizuri ili alipwe maana Serikali hii imejinasibu kwamba ni tajiri.
 
Haka katabia ka kudai jina Bandia huwa anako le mutuz lakini humu JF hatuna mda wa kuhangaika na jina la mtu ukiona mtu anahangaika na ID za JF ujue kaishiwa Hoja huyo, Tambua kuwa ushahidi upo wa Aina nyingi si lazima uletewe nyaraka humu kila kitu, huo ni usumbufu, jiongeze na utambue kuwa watanzania wengi wana Akili kubwa zaidi hawahangaiki kusaka ushahidi wanatumia Akili zao kujua kuwa kitendo cha Ndege kuachiwa lazima Mzungu kalipwa na wanajua kuwa lazima profeselii Kabudi atakuja na sinema ya kujimwambafy kuwa Ndege wameichukua bure, lakini vichwani mwa watanzania wajanja itabakia kuwa Ndege haikuachiwa bure wamemlipa mkulima wa kizungu ndipo Ndege ikaachiwa amini hivyo na kama hauamini endelea kuamini kukariri vya Kabudi hakuna wa kukuzuia upo huru kuamini ujisikiavyo wewe binafsi.
 
Watetezi wa CCM bakieni na mnachokiamini na sisi tusioitetea CCM tutabakia kuamini mkulima wa kizungu kalipwa kwa siri ndipo Ndege ikaachiwa na profeselii Kabudi atajimwambafy mwanza kuficha Aibu yao.
 
Kwa kuna Aibu gani kusema mmemlipa? Ni mara mia kusema ukweli kuliko kuficha ficha mnazidi kujitia Aibu zaidi, hakuna ubaya kulipa Deni kwani dawa ya Deni ni kulipa full stop.
 
Tuwekee proof by the Court's verdict kuwa mkulima hajalipwa na asingelipwa kuna watu wana mapepo wangetamba vibaya. Otherwise, acha umbeya wewe dada. Believe me, hiyo ndege tumeinunua ×2.
asante sana, shida ya watz wengi ni uelewa mdogo hawajui kuhoji mambo muhimu
 
Ni bilioni ngapi za taifa la wajinga mmelipa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama tungelipa Rais wetu hakusababisha hayo. Ni mkwere wako ndiyo aliyaacha hayo yote yatokee. Sijui aliupataje pataje uongozi, haki ya mungu sielewi. Alikuwa yuko yuko tu. Alifikiri kuongoza nchi ni kuzikana na kula Bata mda wote na kujipendekeza kwingi kwa wasanii uchwara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kukujibu zu swali lako la kwanza; kama ulimsikiliza vizuri Balozi wa Canada nchini Tanzania katika hotuba yake wakati ndege inapokelewa, nafikiri utakuwa umesha pata jibu unalo litafuta.

Nikudokezee tu kidogo; alisema Canada na Tanzania ina mahusiano mazuri sana ya kibiashara....Mengine utayamalizia mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenitisha ulivyosema precedence tu na ndio nimeamini kwamba MKULIMA kashavuta chake.
 
Miafrika nfivyo tulivyo, wanaong'ang'ana na kuonyeshwa court verdict ku thibitisha mkulima hajalipwa, wao hawana yao kuthibitisha mkulima kalipwa. Inabaki kuwa ngoma draw😅😅😅
 
Unauliza kinafiki mahasimu wakubwa nyie
Kesho mtajua majibu yenu pale mwanza
Sikuzote Shetani hawezi shinda nguvu za mungu
Poleni
mungu yupi? ni kawaida sana shetani kujifanya malaika wa nuru. ameuliza kinafiki? kilaza akishindwa kujibu usema swali halijakaa sawa? tumeshinda au tumelipa? na hapa hakuna kushinda tuliishashindwa long na kuanza kulipa. alipoingia chizi mabavu kalikoroga. aibu juu ya aibu!
 
Mbona umechukia hivi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndege haikuachiwa bure wamelipa kisha wakamuomba mkulima wa kizungu apige kimya ili profeselii Kabudi apate kujimwambafy huko mwanza kuficha Aibu yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…