Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

Ukiwa na Akili ya kuamini vya profeselii wa Olijino comedy ndugu Kabudi unakuwa tayari umefeli kwenye ule msemo wa Kikwete usemao vya kuambiwa changanya na vya kwako ndipo utafakari kwa umakini, watanzania wengi kwa sasa wakiambiwa jambo na profeselii Kabudi huwa hawaliamini kabsa ingawa bado wapo wachache bongo lala wanaamini kila wanacholishwa na Kabudi.
 
Amini usiamini lakini watanzania wa sasa hawaishi kwa kuiamini CCM tena wewe ukiona majungu bakia hivyo hivyo lakini wengine wanaamini vinginevyo ni tofauti na zamani sasa watanzania wameamka hawakaririshwi Akili za wana CCM za zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM Taifa.

Kwa hiyo unakubali huna ushahidi ni majungu. Yaani katika karne hii ya internet unataka kuwaaminisha Watanzania wote kwamba kuna 10% and then hata Canada wanaficha maamuzi kwenye mahakama zao? Are you serious?

Tukuamini wewe Minyoo na jina lako la bandia ooops (sijui ni Minyoo ya nini hii?) kwamba hata Balozi wa Canada aliyejitahidi kuongea Kiswahili amekula njama na Serikali ya JPM kuwahadaa Watanzania? Tafuta ushahidi mkuu utoe duku duku lako maana mkulima kesi imemshinda itabidi tu aongee vizuri ili alipwe maana Serikali hii imejinasibu kwamba ni tajiri.
 
Kwa hiyo unakubali huna ushahidi ni majungu. Yaani katika karne hii ya internet unataka kuwaaminisha Watanzania wote kwamba kuna 10% and then hata Canada wanaficha maamuzi kwenye mahakama zao? Are you serious?

Tukuamini wewe Minyoo na jina lako la bandia ooops (sijui ni Minyoo ya nini hii?) kwamba hata Balozi wa Canada aliyejitahidi kuongea Kiswahili amekula njama na Serikali ya JPM kuwahadaa Watanzania? Tafuta ushahidi mkuu utoe duku duku lako maana mkulima kesi imemshinda itabidi tu aongee vizuri ili alipwe maana Serikali hii imejinasibu kwamba ni tajiri.
Haka katabia ka kudai jina Bandia huwa anako le mutuz lakini humu JF hatuna mda wa kuhangaika na jina la mtu ukiona mtu anahangaika na ID za JF ujue kaishiwa Hoja huyo, Tambua kuwa ushahidi upo wa Aina nyingi si lazima uletewe nyaraka humu kila kitu, huo ni usumbufu, jiongeze na utambue kuwa watanzania wengi wana Akili kubwa zaidi hawahangaiki kusaka ushahidi wanatumia Akili zao kujua kuwa kitendo cha Ndege kuachiwa lazima Mzungu kalipwa na wanajua kuwa lazima profeselii Kabudi atakuja na sinema ya kujimwambafy kuwa Ndege wameichukua bure, lakini vichwani mwa watanzania wajanja itabakia kuwa Ndege haikuachiwa bure wamemlipa mkulima wa kizungu ndipo Ndege ikaachiwa amini hivyo na kama hauamini endelea kuamini kukariri vya Kabudi hakuna wa kukuzuia upo huru kuamini ujisikiavyo wewe binafsi.
 
Watetezi wa CCM bakieni na mnachokiamini na sisi tusioitetea CCM tutabakia kuamini mkulima wa kizungu kalipwa kwa siri ndipo Ndege ikaachiwa na profeselii Kabudi atajimwambafy mwanza kuficha Aibu yao.
 
Kwa hiyo unakubali huna ushahidi ni majungu. Yaani katika karne hii ya internet unataka kuwaaminisha Watanzania wote kwamba kuna 10% and then hata Canada wanaficha maamuzi kwenye mahakama zao? Are you serious?

Tukuamini wewe Minyoo na jina lako la bandia ooops (sijui ni Minyoo ya nini hii?) kwamba hata Balozi wa Canada aliyejitahidi kuongea Kiswahili amekula njama na Serikali ya JPM kuwahadaa Watanzania? Tafuta ushahidi mkuu utoe duku duku lako maana mkulima kesi imemshinda itabidi tu aongee vizuri ili alipwe maana Serikali hii imejinasibu kwamba ni tajiri.
Kwa kuna Aibu gani kusema mmemlipa? Ni mara mia kusema ukweli kuliko kuficha ficha mnazidi kujitia Aibu zaidi, hakuna ubaya kulipa Deni kwani dawa ya Deni ni kulipa full stop.
 
Tuwekee proof by the Court's verdict kuwa mkulima hajalipwa na asingelipwa kuna watu wana mapepo wangetamba vibaya. Otherwise, acha umbeya wewe dada. Believe me, hiyo ndege tumeinunua ×2.
asante sana, shida ya watz wengi ni uelewa mdogo hawajui kuhoji mambo muhimu
 
Ni bilioni ngapi za taifa la wajinga mmelipa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama tungelipa Rais wetu hakusababisha hayo. Ni mkwere wako ndiyo aliyaacha hayo yote yatokee. Sijui aliupataje pataje uongozi, haki ya mungu sielewi. Alikuwa yuko yuko tu. Alifikiri kuongoza nchi ni kuzikana na kula Bata mda wote na kujipendekeza kwingi kwa wasanii uchwara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni jambo jema sana ndege yetu kuachiwa maana hiyo ndege ilinunuliwa na kodi za watanzania na si za kiongozi yeyote hata huyo Kabudi.
Kwenye hiyo kesi kuna mambo mawili ya kuambiwa:

1: Kesi himefanyika ndani ya siku hizo na hukumu kutolewa? Je hiyo hukumu, tumeshinda/wamekubaliana kulipa au tumesamehewa?

2: tuambiwe kama tulishindwa hiyo kesi lakini kwa sabau tulikuwa na pesa, basi tukalipa.
Kukujibu zu swali lako la kwanza; kama ulimsikiliza vizuri Balozi wa Canada nchini Tanzania katika hotuba yake wakati ndege inapokelewa, nafikiri utakuwa umesha pata jibu unalo litafuta.

Nikudokezee tu kidogo; alisema Canada na Tanzania ina mahusiano mazuri sana ya kibiashara....Mengine utayamalizia mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Takribani majuma mawili yaliyopita Waziri wa Mambo ya nje Prof.Palamaganda Kabudi aliutaarifu Umma kutokea Dodoma siku ambayo Rais Magufuli alikuwa na kazi ya kikatiba kuwaapisha mabalozi wetu.

Prof.Kabudi alimuelezea rais huku akieleza jinsi ambavyo wananchi wa Tanzania watauchukua ushindi dhidi ya kaburu Stein kwa mara nyingine baada ya ''kumcharaza'' katika mahakama ya Gauteng kule bondeni (Afrika ya kusini).

Aliyekuwa wa kwanza kubeza ni Ndugu Membe huku akiaminisha umma kuwa Prof.Kabudi hatafanikiwa, akishauri kuwa njia pekee ni kumuita mkulima Stein kwenye meza na ''kumlipa chake. Ajizi nyumba ya njaa naye Tundu Lissu na Fatuma Karume wakauvagaa mkenge huku akiwa hawana uzoefu wowote na mashauri katika korti ya kimataifa, walijaribu kuwaapooza wafuasi wao ambao walikuwa wenye hasira nyingi baada ya kushauriwa vibaya kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Bila kuchelewa, wafuasi wa CHADEMA na wanasiasa hao wakaivagaa mitandao huku wakionesha dharau kwa Prof.Kabudi na Watanzania, wakisema Mkulima Stein ni ''kiboko'' wakiowanukuu Lissu,Fatuma na Membe.

Wanasheria wetu wazalendo walinyamaza kimya huku wakiandaa hoja za kumshinda ''Mkulima Stein'' kortini. Kwa hoja zilizotolewa kortini hatimaye siku mbili zilizopita Mahakama ya Canada iliipa Tanzania ushindi kwa mara nyingine tena huku ikiweka ''precedence'' kwa siku zijazo.

Nimalize tu kwa kusema, Hongereni wananchi wazalendo wa Tanzania, Mmeshinda tena!
Umenitisha ulivyosema precedence tu na ndio nimeamini kwamba MKULIMA kashavuta chake.
 
Unauliza kinafiki mahasimu wakubwa nyie
Kesho mtajua majibu yenu pale mwanza
Sikuzote Shetani hawezi shinda nguvu za mungu
Poleni
mungu yupi? ni kawaida sana shetani kujifanya malaika wa nuru. ameuliza kinafiki? kilaza akishindwa kujibu usema swali halijakaa sawa? tumeshinda au tumelipa? na hapa hakuna kushinda tuliishashindwa long na kuanza kulipa. alipoingia chizi mabavu kalikoroga. aibu juu ya aibu!
 
mungu yupi? ni kawaida sana shetani kujifanya malaika wa nuru. ameuliza kinafiki? kilaza akishindwa kujibu usema swali halijakaa sawa? tumeshinda au tumelipa? na hapa hakuna kushinda tuliishashindwa long na kuanza kulipa. alipoingia chizi mabavu kalikoroga. aibu juu ya aibu!
Mbona umechukia hivi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mungu yupi? ni kawaida sana shetani kujifanya malaika wa nuru. ameuliza kinafiki? kilaza akishindwa kujibu usema swali halijakaa sawa? tumeshinda au tumelipa? na hapa hakuna kushinda tuliishashindwa long na kuanza kulipa. alipoingia chizi mabavu kalikoroga. aibu juu ya aibu!
Ndege haikuachiwa bure wamelipa kisha wakamuomba mkulima wa kizungu apige kimya ili profeselii Kabudi apate kujimwambafy huko mwanza kuficha Aibu yao.
 
Back
Top Bottom