THE JAGGERS JF-Expert Member Joined Apr 3, 2023 Posts 545 Reaction score 410 Jul 29, 2023 Thread starter #41 Stephen Ngalya Chelu said: Mkuu, nikutumie nyimbo za Mario...? Click to expand... ametoa moja mpya na king kiba
Stephen Ngalya Chelu said: Mkuu, nikutumie nyimbo za Mario...? Click to expand... ametoa moja mpya na king kiba
THE JAGGERS JF-Expert Member Joined Apr 3, 2023 Posts 545 Reaction score 410 Jul 29, 2023 Thread starter #42 Aaliyyah said: Yani mtu akwambie sikutaki nafikir inauma Zaid x boyfriend hakuwah nambia hivo tulipishana tu Mimi nikaamua kuachia ngazi lakini iliniuma balaa 😀😀 nilijikaza tu Click to expand...
Aaliyyah said: Yani mtu akwambie sikutaki nafikir inauma Zaid x boyfriend hakuwah nambia hivo tulipishana tu Mimi nikaamua kuachia ngazi lakini iliniuma balaa 😀😀 nilijikaza tu Click to expand...
A Akilinjema JF-Expert Member Joined Aug 9, 2016 Posts 11,430 Reaction score 11,813 Jul 29, 2023 #43 Hususa alokuacha iwapo kama alikuwa sponsor! Maana siku hizi awareness ni kubwa sana kwenye jamii wanaume wengi wamestuka mambo ya kuonekana mjinga nani anataka maana wajinga ndio waliwao!
Hususa alokuacha iwapo kama alikuwa sponsor! Maana siku hizi awareness ni kubwa sana kwenye jamii wanaume wengi wamestuka mambo ya kuonekana mjinga nani anataka maana wajinga ndio waliwao!
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jul 29, 2023 #44 Pole sana, hayanaga muongozo...