Ni ngumu may b kama kuachwa, naweza kiri mi nilishindwa na nikakonda kama mgonjwa aliekosa lishe! wanaume waacheni tu, niliumia nikiwaza watoto watapata malezi ya upande mmoja, baada ya akili kuanza kunirudi nikaamua if u've something u love set it free if it comes back its urs if itdoesnt never was it! nikatafuta kazi mbali na nikaham nyumba kwa kisingizio cha kazi, na mawasiliano nikakata labda huyo dasophy aliamua kumwacha cjui ni long story bt nilikuja samehe bt ctasahau na siombei yampate mwanamke yeyote
nitendee haki basi na wewe acha visingizio bana!!!!
Kamepotea bana. lakini ngoja nikafanye manually:
The Following User Says Thank You to bht For This Useful Post:
Chrispin (Today)
mbona hata mi ckaoni cku hz mwenyekuelewa jinsi ya kukarudisha anieleweshe pse maana nashindwa kuwathanks watu, japo napendaKamepotea bana. lakini ngoja nikafanye manually:
The Following User Says Thank You to bht For This Useful Post:
Chrispin (Today)
Masaki pole jamani.Yaani we acha tu mamii, Kilosa nzima ilijua! :frown:
Foleni ya wahanga inaendelea. Pole sana mom. Sasa baada ya kuachwa unapumzishaje munkari ukikupanda?
kweli maisha ya ndoa ni magumu, yataka uvumilivu, utaahira na hata ukichaa kuyakabili kwa upande mwingine ni mazuri
Invisibo mi sijamkosea kitu ashangaa kwa nini ananitendea haya......
unaona sasa Mom analia kwa sababu ya nyie 'wavulana'
Haka kadude nisipogongewa huwa nikila sishibagi kabisa>>>>mbona hata mi ckaoni cku hz mwenyekuelewa jinsi ya kukarudisha anieleweshe pse maana nashindwa kuwathanks watu, japo napenda
wewee wewe Noname una hatari wewe duh!!!hhahha Chrispo wewe ni impossible .... But I think the best way to get over someone is to get under someone else:target:
Mamii nadhani ni ukichaa hasa maana leo nilikuwa nasikiliza redio mdada mmoja aliamua kumsaka mwizi wa mume wake alipomkuta hayo mahojiano sasa nimejikuta nacheka mwenyewe- eti we ndo unanifanya nikose haki yangu; mwenyewe nilishazoea akirudi napata, usiku napata na asubuhi napata sasa sipewi pengine hata wiki nakwambia utanitambua ah yaani acha tu ni kweli inabidi uwe kichaa- mimi kwa sasa naombeni tu nhalf time!!yaani hapo kwenye ukichaa ndipo pananifanya mpaka sasa nipo kwenye hii ndoa....lakini mom pole inaonekana uliumizwa kikweli kweli...
Foleni ya wahanga inaendelea. Pole sana mom. Sasa baada ya kuachwa unapumzishaje munkari ukikupanda?
hhahha Chrispo wewe ni impossible .... But I think the best way to get over someone is to get under someone else:target:
yaani hapo kwenye ukichaa ndipo pananifanya mpaka sasa nipo kwenye hii ndoa....lakini mom pole inaonekana uliumizwa kikweli kweli...
matesha hajambo lakini? mi ckuachwa bali nilitendwa na yale ya wanaume wakichaga mke ndani lazima na bi mdogo nje haachwi!
Matesha yuko safi. Asee lisije likatokea lijitu likanichukulia matesha wangu afu likamtosa. Ntazaa nalo aseee!matesha hajambo lakini? mi ckuachwa bali nilitendwa na yale ya wanaume wakichaga mke ndani lazima na bi mdogo nje haachwi!
niliumizwa si kidogo N! usiombee mumeo akutane na dasophy akipigiwa cm hata ****** ataenda ili akaongee atakayo, akija kashiba na ni ucku wa manane, ana gari lakni mtoto hosp utatumiwa tax umpeleke acha tu shost!
Matesha yuko safi. Asee lisije likatokea lijitu likanichukulia matesha wangu afu likamtosa. Ntazaa nalo aseee!
Unajua wachaga huwa wanadumisha mila na desturi za mababu na mabibi zetu zetu. Nyie mnaozipuuzia ndiyo mnaumia kwa vitu vidogo kama kuachwa. Vumilia maisha yake, utakula vya kwake.
Mamii nadhani ni ukichaa hasa maana leo nilikuwa nasikiliza redio mdada mmoja aliamua kumsaka mwizi wa mume wake alipomkuta hayo mahojiano sasa nimejikuta nacheka mwenyewe- eti we ndo unanifanya nikose haki yangu; mwenyewe nilishazoea akirudi napata, usiku napata na asubuhi napata sasa sipewi pengine hata wiki nakwambia utanitambua ah yaani acha tu ni kweli inabidi uwe kichaa- mimi kwa sasa naombeni tu nhalf time!!
eti bwana kwann umfuate hawara? ye si mwizi, mwizi wako ni mr alieenda kutongoza hali anajau ana mke!heee, jamani wanaume watatutoa roho hawa...lakini ktk vi2 ambavyo ctavifanya ni kumfata hawara, nita deal na mr mpaka kieleweke, labda yeye aanze zile za kiswahili kunitumia sms/ku cal hapo ndio ataujua wazimu wa kichaga, na bwana atamkosa...bht unaona game linavyoenda?