Unaguna au unanionea wivu?
Ananifungashia bana! afu unajua ntakutia kwenye ignore list yangu ukiendelea kunifumbia macho>> Au hujui mila zetu mjukuu ni kama mke wa babu?Babu nimeisoma hii huku nimefumba macho lakini ah hapa...... pana utata.
1. huwa anakupaga na kondom ukisafiri au
2. Huwa anakufungashia na kondom ukisafiri?
Bye nafumba tena macho Babu!!
gere....
wewee wewe Noname una hatari wewe duh!!!
Hiyo Xs unamaanisha nini Noname?ahahaha na hatari eeh....life is too short and I dont make my life a momentum to Xs ....
wewe....
Unaona sasa? Nilikwambiaga mi slow learner ukawa unabisha.Chrispo namaanisha X husband or X boyfriend
my bro is not only a slow learner bt ...............aaah ngoja nisiseme mwenzio ntagongwa makwenzi nikifika homeChrispo namaanisha X husband or X boyfriend
teh he th masaki tafuta chuo kingine!
ukiachwa na umpendaye yanakukuta yapi mabaya zaidi
Dah! bht anaogopa sana watu tunaodesa! Itabidi nikajichimbie zangu Chuo cha Mahakama Lushoto....Hakuna stress kule!
heee pole deaarest, mie niliachwa solemba kabisa, tupo dinner kwa raha zetu, story kama kawaida, amani tele...kesho yake namcal jamaa, jamaa hapokei, sms hazijibiwii, cal cal na wee naona akaona nazidisha usumbufu akanitoea kubwa" mie naona tuishie hapa tu nyamayao, kila mtu afanye maisha yake"...bila kuambiwa sababu na cjui sababu mpaka kesho, ameckia nyamayao anaolewa anacal anajidai shetani alimpitia nimsamehe ye ndio anastahili kuwa mume wangu.....khaaa, alikuja kunitia machoni nasukuma tumbo mbele.......
tatizo wadesaji wengi nlokutana nao huw ahawana nidhamu, hawana tofauti na wezi wa kazi za wasanii...yaani mwisho wa siku karatasi yangu ya majibu aning'ang'ania kama yake bana afu mi nachelewa kumaliza!!!
btw; umeandika kwa huzuni mpaka najisikia kukuchukulia fomu!!!
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiiiiii mnyalu umenichekesha sana!!!BHT umenikumbusha pale Library UDSM wakati wa mitihani; teh teh teh teh; mie nakwambia nchi hii we acha tu! Kuna mtu alitaka kuzimia! muda wa kukusanya pepa umefika halafu pepa bado iko kwa mdesaji! weweeeeeeeeee! Si mihangaiko hiyo! kwi kwi kwi yaani ni burudani tosha!
tatizo wadesaji wengi nlokutana nao huw ahawana nidhamu, hawana tofauti na wezi wa kazi za wasanii...yaani mwisho wa siku karatasi yangu ya majibu aning'ang'ania kama yake bana afu mi nachelewa kumaliza!!!
btw; umeandika kwa huzuni mpaka najisikia kukuchukulia fomu!!!
bht na MJ jamani mie leo nimefunga kucheka sitaki jamani ah! Hayo ya UDSM mbona vituko?