Kuachwa...

Kuachwa...

Babu nimeisoma hii huku nimefumba macho lakini ah hapa...... pana utata.
1. huwa anakupaga na kondom ukisafiri au
2. Huwa anakufungashia na kondom ukisafiri?

Bye nafumba tena macho Babu!!
Ananifungashia bana! afu unajua ntakutia kwenye ignore list yangu ukiendelea kunifumbia macho>> Au hujui mila zetu mjukuu ni kama mke wa babu?
 
Chrispo namaanisha X husband or X boyfriend
my bro is not only a slow learner bt ...............aaah ngoja nisiseme mwenzio ntagongwa makwenzi nikifika home
 
Nimewasoma wote kwa makini,kumbe inauma hivyo,yaani mimi mwanaume nikiwahisi "vinginevyo"B4 kuolewa lakini ,naachia ngazi,mhh ingawa hawanifahamu nawaomba msamaha ,maana wengine mpaka last yr hawajaoa bado wananilaumu mimi na ni miaka 13 sasa!!!
 
Dah! bht anaogopa sana watu tunaodesa! Itabidi nikajichimbie zangu Chuo cha Mahakama Lushoto....Hakuna stress kule!

tatizo wadesaji wengi nlokutana nao huw ahawana nidhamu, hawana tofauti na wezi wa kazi za wasanii...yaani mwisho wa siku karatasi yangu ya majibu aning'ang'ania kama yake bana afu mi nachelewa kumaliza!!!

btw; umeandika kwa huzuni mpaka najisikia kukuchukulia fomu!!!
 
heee pole deaarest, mie niliachwa solemba kabisa, tupo dinner kwa raha zetu, story kama kawaida, amani tele...kesho yake namcal jamaa, jamaa hapokei, sms hazijibiwii, cal cal na wee naona akaona nazidisha usumbufu akanitoea kubwa" mie naona tuishie hapa tu nyamayao, kila mtu afanye maisha yake"...bila kuambiwa sababu na cjui sababu mpaka kesho, ameckia nyamayao anaolewa anacal anajidai shetani alimpitia nimsamehe ye ndio anastahili kuwa mume wangu.....khaaa, alikuja kunitia machoni nasukuma tumbo mbele.......

pole i know it feels, halafu wakisikia unaolewa tu ndo wananzaaa kutry up and down....umenikumbusha mbali
 
tatizo wadesaji wengi nlokutana nao huw ahawana nidhamu, hawana tofauti na wezi wa kazi za wasanii...yaani mwisho wa siku karatasi yangu ya majibu aning'ang'ania kama yake bana afu mi nachelewa kumaliza!!!

btw; umeandika kwa huzuni mpaka najisikia kukuchukulia fomu!!!

BHT umenikumbusha pale Library UDSM wakati wa mitihani; teh teh teh teh; mie nakwambia nchi hii we acha tu! Kuna mtu alitaka kuzimia! muda wa kukusanya pepa umefika halafu pepa bado iko kwa mdesaji! weweeeeeeeeee! Si mihangaiko hiyo! kwi kwi kwi yaani ni burudani tosha!

Wenyewe wanaita KUZAA; basi angekuwa na mimba siku hiyo walahi angezaa kweli!
 
BHT umenikumbusha pale Library UDSM wakati wa mitihani; teh teh teh teh; mie nakwambia nchi hii we acha tu! Kuna mtu alitaka kuzimia! muda wa kukusanya pepa umefika halafu pepa bado iko kwa mdesaji! weweeeeeeeeee! Si mihangaiko hiyo! kwi kwi kwi yaani ni burudani tosha!
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiiiiii mnyalu umenichekesha sana!!!

mi nkwambia ilinitoke a pale Nkrumah, aah demu alikuwa muuza sura tu sisi wengine tumetumwa na kijiji, aliikwida pepa yangu nilitamani kupiga mayowe nakwambia.......kulia nataka kucheka nataka na muda unaenda!!! yaani walokuwa karibu yetu walikasirika on my behalf!!!
 
bht na MJ jamani mie leo nimefunga kucheka sitaki jamani ah! Hayo ya UDSM mbona vituko?
 
tatizo wadesaji wengi nlokutana nao huw ahawana nidhamu, hawana tofauti na wezi wa kazi za wasanii...yaani mwisho wa siku karatasi yangu ya majibu aning'ang'ania kama yake bana afu mi nachelewa kumaliza!!!

btw; umeandika kwa huzuni mpaka najisikia kukuchukulia fomu!!!

Bora umebadilisha mawazo, dah! Maana sijui ningekuwa mgeni wa nani huko Lushoto mie!
 
bht na MJ jamani mie leo nimefunga kucheka sitaki jamani ah! Hayo ya UDSM mbona vituko?

hahaaaa kumbe umefunga kucheka mamii??? muda wa kufungua mbona ndo huu!!!!

afu nikwambie kitu MJ1, kuna siku lecturers kama 5 hivi walituvamia maana walitonywa watu wanadesa eeh bwana eeh kumbe makalio makubwa yana matumizi yake......watu walikalia madesa na prof akapita patupu...................
 
Back
Top Bottom