Kitu cha kwanza na muhimu ni kuwa na hakika na uaminifu wa yule atakayekuuzia mzigo. Maana matapeli ni wengi sana online.
Ukishaelewana naye bei,utamtumia pesa kwa njia mtakayokubaliana. Utamwambia unatumia kampuni gani ya usafirishaji kisha atakupiagia hesabu ya mzigo wako + shipping cost hadi ulipo.
Kama utatumia DHL mzigo ukifika custom wanalipia kodi zote zinazotakiwa kisha wanakuletea hadi ulipo..utawarudishia gharama zao za kodi unapokuwa unapokea mzigo.
My take: Nimekuwa nikitumia DHL muda fulani,ila jamaa wale ni wasumbufu sana wakati mwingine. Kama utaweza kutumia kampuni nyingine ni afadhali..