CoderM
Senior Member
- Jun 15, 2015
- 102
- 291
Habari zenu wana JF.
Nahitaji kuagiza bidhaa nje ya nchi kupitia mitandao kama alibaba, aliexpress nk.
Je kuna mtu anafahamu utaratibu wa huo mzigo kukufikia hapa nyumban Tanzania.?
Na je kuna tozo la ziada baada ya bidhaa yangu kufika.
Ni machine inaitwa "vinly sticker cuter".
NB: bidhaa hii ni kwa matumizi yangu sio kwa ajili ya kuiuza.
Nahitaji kuagiza bidhaa nje ya nchi kupitia mitandao kama alibaba, aliexpress nk.
Je kuna mtu anafahamu utaratibu wa huo mzigo kukufikia hapa nyumban Tanzania.?
Na je kuna tozo la ziada baada ya bidhaa yangu kufika.
Ni machine inaitwa "vinly sticker cuter".
NB: bidhaa hii ni kwa matumizi yangu sio kwa ajili ya kuiuza.