Vumilia mkuu kuna mwaka nilinunua kwa SBT gari ikakaa miezi mitatu wakati nimezoea miezi miwili tu Beforward nilianza kupanic lakini ilifikaNimeagiza gari kupitia hawa jamaa autocom japan week mbili sasa sijapata mrejesho kutoka kwao, na hivi hawana office hapa bongo basi nabaki kujifariji tu sijapigwa na kitu kizito mwaka huu lols