Kuagiza mabasi ya mwendokasi ya dizeli baada ya kukamilika kwa Bwawa la Nyerere itakuwa ni kipimo cha ujinga kwa Watanzania

Lakini hawaweki mfumo wa gesi asilia, ila wana uwezo wa kufanya hayo. Tena mengine ni magari ya biashara. Kuna shida kwenye fikra.

Ova
Wapo wenye uwezo na hawafanyi sababu ya akili mbovu tu, ila ni wachache hao
 
Baba mkurugenzi mtendaji wa mabasi na mama mkurugenzi mtendaji wa kuyauzia mafuta mabasi ya baba.
 
Wakileta mabasi ya umeme hawataiba mafuta.
 
Rostitamu rafiki wa karibu wa bi kizimkazi hawezi kubali tutumie nishati safi ya umeme kupikia wakati yeye ni mmiliki na msambazaji wa gesi ya kupikia
Alaaa! Kumbe ni Rost tamimu ndio sababu!
 
Kuna lecturer aliwahi kuniambia,ukiwa umetokea familia masikini then ukubwani ukapata uongozi,basi ni rahisi kurubuniwa kwa fedha ndogo tu ikasababisha uipoteze jamii yako yote
 
huku tu majumbani bado ni tatizo
vifaa tunavyotumia vingi ni 220v mpaka 240v
Lakini umeme unaoingia ndani ni chini ya hapo hadi 170v
Sasa itakuwaje kwa hayo mabasi?
 
Miundombinu hiyo ipo au unataka walete halaf wayaweke wapi? Currently kwa hali ya nchi ilivyo bado tunahitaji mafuta zaidi, yes ni current condition. Transition kwenda kwa umeme inaweza fanyika but taratibu na si instant
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…