Kuagiza toyota premio

Kuagiza toyota premio

KISHINDO

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2013
Posts
2,165
Reaction score
1,906
Habarini ndugu!

Naomba msaada:-

1. wa kujua gharama za kuagiza TOYOTA PREMIO toka Japan na Ushuru wake kwa sasa.

2. Ni Premio ya injini ipi itanifaa maana niko Wilayani Serengeti na barabara si nzuri kivile.

3. Kampuni nzuri inayoaminika kwa kuagiza Magari ni ipi maana kuna wajanja wa mitandaoni wasije wakasepa na pesa yote niliyokopa.

Natanguliza Shukran zangu za dhati.
 
Habarini ndugu!

Naomba msaada:-

1. wa kujua gharama za kuagiza TOYOTA PREMIO toka Japan na Ushuru wake kwa sasa.

2. Ni Premio ya injini ipi itanifaa maana niko Wilayani Serengeti na barabara si nzuri kivile.

3. Kampuni nzuri inayoaminika kwa kuagiza Magari ni ipi maana kuna wajanja wa mitandaoni wasije wakasepa na pesa yote niliyokopa.

Natanguliza Shukran zangu za dhati.
premio engine zote nzuri tu sema kama ni mtu wa kusafiri safiri ungechukua ya 1,794cc ina nguvu kiasi chake na ni economy at the same time.

Wastani wa 16km/l ila kama utataka ambayo iko chini unaweza chukua ya 1,49Occ ya 16.6km/l ila hii engine inachelewa kidogo kuchanganya mwendo hasa kwenye safari.
 
premio engine zote nzuri tu sema kama ni mtu wa kusafiri safiri ungechukua ya 1,794cc ina nguvu kiasi chake na ni economy at the same time.

Wastani wa 16km/l ila kama utataka ambayo iko chini unaweza chukua ya 1,49Occ ya 16.6km/l ila hii engine inachelewa kidogo kuchanganya mwendo hasa kwenye safari.
Nashukuru sana ndugu yangu kwa ushauri wako.


Je nikiwa na 15m kwa hiyo Premio ya 1,794 inaweza kutosha kuagiza na kulipia ushuru hapo Bandarini?????
 
premio engine zote nzuri tu sema kama ni mtu wa kusafiri safiri ungechukua ya 1,794cc ina nguvu kiasi chake na ni economy at the same time.

Wastani wa 16km/l ila kama utataka ambayo iko chini unaweza chukua ya 1,49Occ ya 16.6km/l ila hii engine inachelewa kidogo kuchanganya mwendo hasa kwenye safari.
mm nina premio ya 1500cc mwaka 2005 highway inaenda for 11.5km haizidi apo iyo unayosema ww 16.5km/l ulishawah tumia una uhakika wa data au premio yangu itakua na shida maana mm mwenyewe wakati naagiza niliambiwa consumption iko ivo lakini ni tofauti
 
Premio yako haina plugs nzuri bila shaka, consumption haiwezi kuwa mbaya hivyo kwa 1.5L wakati wa IST anapata hadi 18kms/l on the same engine
mm nina premio ya 1500cc mwaka 2005 highway inaenda for 11.5km haizidi apo iyo unayosema ww 16.5km/l ulishawah tumia una uhakika wa data au premio yangu itakua na shida maana mm mwenyewe wakati naagiza niliambiwa consumption iko ivo lakini ni tofauti
 
Premio yako haina plugs nzuri bila shaka, consumption haiwezi kuwa mbaya hivyo kwa 1.5L wakati wa IST anapata hadi 18kms/l on the same engine
basi ntajaribu kuichek plug japo sizan kama zitakua na shida maana sijawah sikia inamis kwa dizaini yoyote japo hakuna ist inafika km 18 kwa lita watumiaji watakwambia
 
mm nina premio ya 1500cc mwaka 2005 highway inaenda for 11.5km haizidi apo iyo unayosema ww 16.5km/l ulishawah tumia una uhakika wa data au premio yangu itakua na shida maana mm mwenyewe wakati naagiza niliambiwa consumption iko ivo lakini ni tofauti

Hizi details huwa wanachukua kwny sites mfano Website ya kununua magari inayoitwa Enhance Auto ukiingia kusoma details za gari kuna kipengele kinaonesha fuel consumption.

Zile huwa ni estimation za gari ikiwa mpya,so huwa inakuwa tofaut kdg kwa sabab gari unakuta umeagza ina 80,000kms so consumption yake haiwezi kuwa sawa na mpya
 
mm nina premio ya 1500cc mwaka 2005 highway inaenda for 11.5km haizidi apo iyo unayosema ww 16.5km/l ulishawah tumia una uhakika wa data au premio yangu itakua na shida maana mm mwenyewe wakati naagiza niliambiwa consumption iko ivo lakini ni tofauti

IMG_1680.png

Wanaangalia hku
 
basi ntajaribu kuichek plug japo sizan kama zitakua na shida maana sijawah sikia inamis kwa dizaini yoyote japo hakuna ist inafika km 18 kwa lita watumiaji watakwambia
Engine ya 1.3L inakufikisha humo freshi kabisa, 1.5L ikiwa na CVT ni uhakika
 
Back
Top Bottom