Kuajiriwa 1991 kupandishwa cheo mara moja tu. Anastaafu kwa uchungu

Nan
 
Elimu yake, alikua na ujuzi gani wa ziada alipokuwa kwenye chombo. ?
 
Elimu yake, alikua na ujuzi gani wa ziada alipokuwa kwenye chombo. ?
Kwa yeyote anayeajiriwa anakuwa Askari. Na cheo cha uaskari kinaanzia constable mpaka afisa mteule( lisaa mkononi) kwa polisi sijui wanakiitaje hiki cheo. Sasa hata kama ni std 7 au form four ndio wamfanyie hivyo?
Polisi wengi tu wengine mpaka wanafika umri wa miaka 45 hata kacheo kamoja hawana
 
Sasa Darasa la saba unataka upande cheo gani? Ili ukasumbue waliosoma kama anavyofanya mbunge msukuma
 
Heri ya polisi, angalau wana marupurupu na wanajaaliwa kwa sare, mabuti na vijihongo. Gusa askari magereza uko ndiyo hoiiiiiiiii.
 
Hata haiumizi sana as long as ni polisi. Lakini mshauri matumizi sahihi ya pension yake asije akaishia kuitumia kwa uchungu pia.
 
Apambane na Hali yake na hao waliopo kwenye ajira wajiandae kisaikopojia! Na waendelee kutumia nguvu kwenye kazi bila ya akili#Endeleeni kitumika kwa maslahi ya wajanja!
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…