Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani nikuajiri afu ujitie kunitingisha una utani sio?..zipo nyingi tu hata hiyo unayodhani inalipa kwa mwezi
kama unajiamini "no one like you" mtingishe boss mwambie
unataka kuanzia mwezi ujao,mshahara wako uingie per day.
inawezekana sana tu sema,ubavu wa kumpa masharti boss unao??
ni sawa ila mshahara unapokuja siku ya 40 au 45 unaharibu mipango ya mtuMimi naona cha muhimu wewe mtu binafsi kua na malengo yako ulipwe kwa mwezi, kwa wiki au kwa siku ni malengo tu hata kama mshahara utalipwa siku ya 40 au 45 hakuna jambo ambalo ni rahisi katika maisha..
unajua kitu chochote ukikiangalia kwa jicho la "haiwezekani" au ni "ngumu" na kweli kitabaki hivyo hivyo.Mleta mada wakikulipa kwa siku kodi wanaikokotoa vipi? Mfano Gross ya 2,500,000÷30 = 83,333 kwa siku na kama utalipwa kwa mwezi utapokea 1,600,000 baada ya makato ya kodi na bima ya afya..au ndo watachukua 1,600,000 ÷ 30 = 53,333 kwa siku? Pia inategemea na aina ya biashara inayofanyika maana kama biashara inategemea watu waje kupata huduma ndo hela iingine hata hayo malipo ya kwa siku unaweza ukapunjwa tu na deni likawa carried over the following day and etc
Kodi wanayolipa wasanii inakokotolewa kitofauti na anayolipwa mtumishi...hilo lilikua ni swali tuunajua kitu chochote ukikiangalia kwa jicho la "haiwezekani" au ni "ngumu" na kweli kitabaki hivyo hivyo.
ila napenda tu ufahamu kuwa inawezekana,Kodi wanatozwa wasanii tamasha la dk 5 sembuse wewe siku nzima
kodi ishindwe kukokotolewa? Ukisema haiwezekani sawa sikatai itabaki hivyo haiwezekani.
Ndio maana kwa wenzetu muda ni pesa.Tutafika tu huko mbona,hata sio mbali yani
wafanyabiashara hao, hawakuajiri ili ufanikiwe (utajirike)Hapo kwenye kipengele cha kutoa taarifa miez miwili kabla hujaacha kaz nimekiona kwenye mkataba wangu, ila nimeacha kaz siku hiyo hiyo, afu kuna kingine ukiacha kabla ya muda wa mkataba kuisha unailipa kampuni...haya majamaa waizi sana
Nakuelewa sana bro uko vizuri endelea kutupa nondowafanyabiashara hao, hawakuajiri ili ufanikiwe (utajirike)
wanakuajiri ili usaidie wako/kampuni itajirike ifike mbali
kisha wakifanikiwa ndio wataamua na wewe wakufanikishe au
wakuache hapo hapo ukisota kwa kujitia mfanya kazi bora.
Bila akili ya ziada huwezi elewa vipengele vya kwenye mikataba.
ni kweli kabisa chief, na mara nyingi unaweza kuwa na malengo mazuri ila Boss (muajiri) akakuangusha.
fikiria unataka hela yako ushapigia hesabu zako tarehe 30 ntafanya kitu,lenyewe linakulipa mshahara
mwezi unaofata tena bora iwe mwanzoni,anakulipa huko tar 13 -15 imagine.
Mhh kazi zipi hizo wanazolipa kwa siku kando ya vibarua