Kuambatana na mke wako Kwa watu, haimaanishi una mapenzi ya dhati kwake

Kuambatana na mke wako Kwa watu, haimaanishi una mapenzi ya dhati kwake

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Wanaume hatuoneshi mapenzi Kwa maneno au Kwa kujionesha Kwa watu

Tunaonesha mapenzi Kwa vitendo na kuwajibika hapo mke na watoto watajua kweli anawapenda Kwa dhati

Sio kutaja " I love you" mara 100 Kwa siku, wakati watoto hawana hawana ada, chakula na mahitaji
Hapo mwanaume unaonekana huna mapenzi
Kuambatana na mkeo hayo ni mapenzi ya shule secondary form Three
Mfano, Jana nimemwona Haji Manara akiambatana na mkewe msibani, hadi akaitwa atoe Salam za pole nikashangaa eti mkewe kamsindikiza, mwisho nikaona wanaumbuka tu
 
Acha wivu wewe, nani kasema kuongozana na mkeo sio upendo na una uhakika gano kama haji huwa hatimizi majukumu yake home.

Mkeo ndo best friend wako, kuongozana nae shida iko wapi? Waache watu waishi wanavotaka, kama wewe mkeo unaishi nae kama mkoloni wala unashindwa kuongozana nae bas tulia.

Mtu kaongozana na mkewe we unaumia kama sio uchawi ni nini
 
Wanaume hatuoneshi mapenzi Kwa maneno au Kwa kujionesha Kwa watu

Tunaonesha mapenzi Kwa vitendo na kuwajibika hapo mke na watoto watajua kweli anawapenda Kwa dhati

Sio kutaja " I love you" mara 100 Kwa siku, wakati watoto hawana hawana ada, chakula na mahitaji
Hapo mwanaume unaonekana huna mapenzi
Kuambatana na mkeo hayo ni mapenzi ya shule secondary form Three
Mfano, Jana nimemwona Haji Manara akiambatana na mkewe msibani, hadi akaitwa atoe Salam za pole nikashangaa eti mkewe kamsindikiza, mwisho nikaona wanaumbuka tu

Haikuhusu, concentrate kwenye rejesho lako, Kuna mwanamke anayestahili kupendwa kweli?
 
Mimi na wangu hua tukikosana sikuhiyo kila mmoja anatoka nyumbani na kuipita mlango wake.
Ila cha ajabu mida ya kazi ikiisha lazima mmoja atamtafuta mwenzie kujua anatoka saa ngapi na amaubirie wapi..🤣
Tukisha kutana sehem, tuna upa pole mwili kwa kuagiza vinywaji na kisha tunaongea machache kuhusu kazi na siku ilivyo enda then tunarudi home kwa furaha na kesi inakua imeyeyuka.
Ila kipindi hiki kuna time tulikaa kama miezi 6 hatuja kosana hata kwa kujibishana hadi kuna siku nikauliza "mbona zimepita siku nyingi hatuja gombana...😝" akanijibu "umemiss ugomvi eehhh...😜"
 
Mimi na wangu hua tukikosana sikuhiyo kila mmoja anatoka nyumbani na kuipita mlango wake.
Ila cha ajabu mida ya kazi ikiisha lazima mmoja atamtafuta mwenzie kujua anatoka saa ngapi na amaubirie wapi..🤣
Tukisha kutana sehem, tuna upa pole mwili kwa kuagiza vinywaji na kisha tunaongea machache kuhusu kazi na siku ilivyo enda then tunarudi home kwa furaha na kesi inakua imeyeyuka.
Ila kipindi hiki kuna time tulikaa kama miezi 6 hatuja kosana hata kwa kujibishana hadi kuna siku nikauliza "mbona zimepita siku nyingi hatuja gombana...😝" akanijibu "umemiss ugomvi eehhh...😜"
Umenichekesha sana mkuu
 
Mimi na wangu hua tukikosana sikuhiyo kila mmoja anatoka nyumbani na kuipita mlango wake.
Ila cha ajabu mida ya kazi ikiisha lazima mmoja atamtafuta mwenzie kujua anatoka saa ngapi na amaubirie wapi..🤣
Tukisha kutana sehem, tuna upa pole mwili kwa kuagiza vinywaji na kisha tunaongea machache kuhusu kazi na siku ilivyo enda then tunarudi home kwa furaha na kesi inakua imeyeyuka.
Ila kipindi hiki kuna time tulikaa kama miezi 6 hatuja kosana hata kwa kujibishana hadi kuna siku nikauliza "mbona zimepita siku nyingi hatuja gombana...😝" akanijibu "umemiss ugomvi eehhh...😜"
🤣🤣🤣Swali la kichokozi hilo.
Hakika muendelee kubarikiwa amani mkuu
 
Wanaume hatuoneshi mapenzi Kwa maneno au Kwa kujionesha Kwa watu

Tunaonesha mapenzi Kwa vitendo na kuwajibika hapo mke na watoto watajua kweli anawapenda Kwa dhati

Sio kutaja " I love you" mara 100 Kwa siku, wakati watoto hawana hawana ada, chakula na mahitaji
Hapo mwanaume unaonekana huna mapenzi
Kuambatana na mkeo hayo ni mapenzi ya shule secondary form Three
Mfano, Jana nimemwona Haji Manara akiambatana na mkewe msibani, hadi akaitwa atoe Salam za pole nikashangaa eti mkewe kamsindikiza, mwisho nikaona wanaumbuka tu
Wivu ni mbaya sana mkuu ishi maisha yako
 
Mimi na wangu hua tukikosana sikuhiyo kila mmoja anatoka nyumbani na kuipita mlango wake.
Ila cha ajabu mida ya kazi ikiisha lazima mmoja atamtafuta mwenzie kujua anatoka saa ngapi na amaubirie wapi..🤣
Tukisha kutana sehem, tuna upa pole mwili kwa kuagiza vinywaji na kisha tunaongea machache kuhusu kazi na siku ilivyo enda then tunarudi home kwa furaha na kesi inakua imeyeyuka.
Ila kipindi hiki kuna time tulikaa kama miezi 6 hatuja kosana hata kwa kujibishana hadi kuna siku nikauliza "mbona zimepita siku nyingi hatuja gombana...😝" akanijibu "umemiss ugomvi eehhh...😜"
Don't forget to give a little love tap on the cheeks every now and then.....😜
 
Wanaume hatuoneshi mapenzi Kwa maneno au Kwa kujionesha Kwa watu

Tunaonesha mapenzi Kwa vitendo na kuwajibika hapo mke na watoto watajua kweli anawapenda Kwa dhati

Sio kutaja " I love you" mara 100 Kwa siku, wakati watoto hawana hawana ada, chakula na mahitaji
Hapo mwanaume unaonekana huna mapenzi
Kuambatana na mkeo hayo ni mapenzi ya shule secondary form Three
Mfano, Jana nimemwona Haji Manara akiambatana na mkewe msibani, hadi akaitwa atoe Salam za pole nikashangaa eti mkewe kamsindikiza, mwisho nikaona wanaumbuka tu
Show loves hua hazidumu,

nyingi zimeshasambaratika na nyingi ziko mahututi ICU kusambaratika.

na haiwezekanagi kurudiana tena 🐒
 
Back
Top Bottom