Kuambatana na mke wako Kwa watu, haimaanishi una mapenzi ya dhati kwake

Kuambatana na mke wako Kwa watu, haimaanishi una mapenzi ya dhati kwake

Umemaliza kila kitu kada wa Chama😆
Actually,
ni muhimu sana kuelezana ukweli, kutahadharishana na kukumbushana mambo haya ambayo hutokea bayana lakini hayasemwi mara kwa mara pia.

Ni angalizo muhimu sana kwakweli.

Ya ndani ikiwa ni pamoja na mapenzi yamalizwe ndrani kwa ndrani na wahusika,

kujionyesha kwa watu nje haina maana yoyote ni kutengeneza mazingira ya kutosameheana tu mkitofautiana 🐒
 
Bongo kwa kufuatilia mambo ya hovyo ni balaa.
Huo ni umbea tu 🤣🤣🤣
 
Wanaume hatuoneshi mapenzi Kwa maneno au Kwa kujionesha Kwa watu

Tunaonesha mapenzi Kwa vitendo na kuwajibika hapo mke na watoto watajua kweli anawapenda Kwa dhati

Sio kutaja " I love you" mara 100 Kwa siku, wakati watoto hawana hawana ada, chakula na mahitaji
Hapo mwanaume unaonekana huna mapenzi
Kuambatana na mkeo hayo ni mapenzi ya shule secondary form Three
Mfano, Jana nimemwona Haji Manara akiambatana na mkewe msibani, hadi akaitwa atoe Salam za pole nikashangaa eti mkewe kamsindikiza, mwisho nikaona wanaumbuka tu
Hiyo ndo shida ya wanaume wengi kudhani akishatimiza mahitaji ya nyumbani basi ndo kaonesha upendo.
Baadae unaibiwa na houseboy
unalalama.

" umekosa Nini kwangu"..

Amekosa kuoneshwa upendo kwa vitendo. Wanawake sio sawa na wanaume, muhimu kujua Lugha zao za mapenzi, sio unaishi nae kama mwanaume mwenzio.
 
Wanaume hatuoneshi mapenzi Kwa maneno au Kwa kujionesha Kwa watu

Tunaonesha mapenzi Kwa vitendo na kuwajibika hapo mke na watoto watajua kweli anawapenda Kwa dhati

Sio kutaja " I love you" mara 100 Kwa siku, wakati watoto hawana hawana ada, chakula na mahitaji
Hapo mwanaume unaonekana huna mapenzi
Kuambatana na mkeo hayo ni mapenzi ya shule secondary form Three
Mfano, Jana nimemwona Haji Manara akiambatana na mkewe msibani, hadi akaitwa atoe Salam za pole nikashangaa eti mkewe kamsindikiza, mwisho nikaona wanaumbuka tu
Mke wangu hajawahi kunitamkia I Love you Bushdokta, but she is the best lovely woman i have never seen in my life.

Her Acts speaks louder.
 
Acha wivu mkuu. Acha tu tuambatane, ndio tumeamua hivyo na tunapendana.
 
Actually,
ni muhimu sana kuelezana ukweli, kutahadharishana na kukumbushana mambo haya ambayo hutokea bayana lakini hayasemwi mara kwa mara pia.

Ni angalizo muhimu sana kwakweli.

Ya ndani ikiwa ni pamoja na mapenzi yamalizwe ndrani kwa ndrani na wahusika,

kujionyesha kwa watu nje haina maana yoyote ni kutengeneza mazingira ya kutosameheana tu mkitofautiana 🐒
Hvi walimwengu sie tusingewaona pmja content za "washaachana zingeanza".
 
Back
Top Bottom