Kuambiana azikwa na maswali magumu 5

Go 2 hell! Kama hawana cha kuandka fungeni company😑

siku ya kufa shigongo nitaanzisha gazeti wiki hiyohiyo kufanya sherehe.

huyu jinga mbona aandiki kwamba baba yake amekufa na analiwa na mafunza tu huko makaburini jinga kabisa huyu shigongo.
 
siku ya kufa shigongo nitaanzisha gazeti wiki hiyohiyo kufanya sherehe.

huyu jinga mbona aandiki kwamba baba yake amekufa na analiwa na mafunza tu huko makaburini jinga kabisa huyu shigongo.

Hahaaah!
 
huyo stara alikuwepo kabla ya ndoa.na ujue global walivyo magumash wanataka tu watz wajue huyo marehemu aliwah kuwa na mahusiano na stara period!

Mdau get your facts straight. Janeth alioana na Marehemu enzi hizo na Stara aliolewaga na watoto juu. Wamekutana juzi kati na kuambiana na wakaishi pamoja na hata msiba alitaka uwe kwake mkewe akaweka ngumu na watu pia coz ni ndoa ya kikristu haina talaka so ni kweli pole ya Janeth maana wakina stara na mwenzie wote wamejinadi hadharani kua walikua na uhusiano na kuambia bila aibu wala kufikiri jinsi wanasambaziana magonjwa. Mwanamke mwingine anaitwa lulu link hio ndugu jione wanawake wa bongo...
https://www.youtube.com/watch?v=W9rI8DX7oUc&list=UUO-pOZN6prC9mweX949IRmA:israel:
 
Nimefukua kaburi
loh huyu she gongo nae aghrr nae aingizwe kwenye list ya mafisadi anaandikaje habar za kimagumash namna hii?anaibia watz!hayo magazet skuhz hata cyagusagi,
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

loh huyu she gongo nae aghrr nae aingizwe kwenye list ya mafisadi anaandikaje habar za kimagumash namna hii?anaibia watz!hayo magazet skuhz hata cyagusagi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…