ctl jr
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 391
- 86
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh! eti maswali matano magumu!
Go 2 hell! Kama hawana cha kuandka fungeni company😡
siku ya kufa shigongo nitaanzisha gazeti wiki hiyohiyo kufanya sherehe.
huyu jinga mbona aandiki kwamba baba yake amekufa na analiwa na mafunza tu huko makaburini jinga kabisa huyu shigongo.
huyo stara alikuwepo kabla ya ndoa.na ujue global walivyo magumash wanataka tu watz wajue huyo marehemu aliwah kuwa na mahusiano na stara period!
aisee sasa huyu mke wa ndoa,alikuwepo kama picha,ila ndoa za kikristo hazina talaka,pole sana Janeth
Miaka sita iliyopita. Hata sikumbuki.Unamaanisha mke wa ndoa alikua Stara Thomas?
😂😂😂loh huyu she gongo nae aghrr nae aingizwe kwenye list ya mafisadi anaandikaje habar za kimagumash namna hii?anaibia watz!hayo magazet skuhz hata cyagusagi,