Uchaguzi 2020 Kuambiwa kwamba si Raia wa Tanzania, ni kashfa kubwa kwa Tundu Lissu na familia yake

Mbelgiji amekuja kuhakikisha amani yetu inaondoka yaani yeye kila akisimama jukwaani hana kauli za amani ni Shari tu,

Mara ooh patachimbika,

Kitaeleweka,

Tutaingia barabarani,

Tutawapeleka ICC.

Huyu mtu ana matatizo sio bure.
Kizuri ambacho naweza sema ni kwamba hayo yote anayatamka lakini anasisitiza endapo tu haki haita tendeka , mimi binafsi sion tatizo ilimradi tu haki iwepo nadhan haki ikiwepo kutakuwa na amani ingawa nauhakika hata haki isipo tendeka lissu hana cha kufanya maana jeuri hiyo hana.
 
CCM mnatia huruma kwa hoja za kitoto
 
Hizo kauli sio nzuri kipindi hiki cha uchaguzi ambacho hisia za watu zipo juu kidogo ,

Sio kila mtu anaweza elewa kama wewe , wengine wanachukulia mambo kwa uzito wake, sasa unaweza ona kauli kama hizo zitawaweka watu katika tension ya aina gani.

Kuna watu watakua wanaishi kwa wasiwasi wakidhani kuwa amani inakwenda kupotea , hivyo ni jukumu la serikali kuhakikisha amani inakuwepo.

Yeye anadi sera zake tu na sio kutishana hapa kila anapopanda majukwaani.
 
Akili za ccm wanajijua wenyewe tu, sijui huko phd walienda kusomea uzezeta?
 
Waanze banyamulenge makufuli ambaye wasukuma hawamtambui kama ni mwenzao Wala hakuna kabila Tanzania lenye ukoo huo wa kigaidi na kizandiki huyu ni raia wa nchi gani?
 
Cardiac arrest
 
Kwani Magufuli ni Raia wa Tanzania???
 
Inategemea kama aliyekuhisi ni mtu mwenye akili timamu au la
 
Mwambie I mgombea wenu awaonyeshe cheti Cha kuzaliwa
 
Sio Siri nilimdharau sana lisu baada ya kusikia anakuja kugombea ila kwa ninayoyaona ni wazi wakili anawanyima usingizi watawala yaani siamini macho yngu
 
Mbelgiji amekuja kuhakikisha amani yetu inaondoka yaani yeye kila akisimama jukwaani hana kauli za amani ni Shari tu,

Mara ooh patachimbika,

Kitaeleweka,

Tutaingia barabarani,

Tutawapeleka ICC.

Huyu mtu ana matatizo sio bure.
Haha yani siamn kama lissu angekuwa jeuri kiasi hichi mpaka watawala wafikie hatua hii daah!! Nilimchukulia poa sana lissu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…