Hili la uraia wa Lissu ndo kwanza nalisikia kwakoKuhisiwa pekee kwamba yeye na familia yake si raia tena wa Tanzania kwa hakika si jambo la kupuuzwa na kwanza na yeye Tundu na pia vyombo vya Dola.
Tundu lisu anapaswa mara moja alitolee ufafanuzi suala hilo na tena kwa ushahidi.
Pili vyombo vya Dola vimchunguze Tundu lisu kama ni kweli si mtanzania tena ili mara moja hatua stahiki zichukuliwe.
Toka pepo mchafu, unadhani sisi watanzania wa leo ni wajinga wa kiwango hicho, kwamba unaweza kutuletea huo upumbavu wako halafu tukubaliane na wewe.Mbelgiji amekuja kuhakikisha amani yetu inaondoka yaani yeye kila akisimama jukwaani hana kauli za amani ni Shari tu,
Mara ooh patachimbika,
Kitaeleweka,
Tutaingia barabarani,
Tutawapeleka ICC.
Huyu mtu ana matatizo sio bure.
Mmezoea wizi wa kura safari him mmepatikanaMbelgiji amekuja kuhakikisha amani yetu inaondoka yaani yeye kila akisimama jukwaani hana kauli za amani ni Shari tu,
Mara ooh patachimbika,
Kitaeleweka,
Tutaingia barabarani,
Tutawapeleka ICC.
Huyu mtu ana matatizo sio bure.
Mmeshindwa kumuua sasa mnazusha kuhusu uraia ! Hakika mmeishiwa .Kuhisiwa pekee kwamba yeye na familia yake si raia tena wa Tanzania kwa hakika si jambo la kupuuzwa na kwanza na yeye Tundu na pia vyombo vya Dola.
Tundu lisu anapaswa mara moja alitolee ufafanuzi suala hilo na tena kwa ushahidi.
Pili vyombo vya Dola vimchunguze Tundu lisu kama ni kweli si mtanzania tena ili mara moja hatua stahiki zichukuliwe.
Naona mnalia liakimaadili alipaswa kuweka wazi kwamba alishachukua uraia wa nchi nyingine na kuikana Tanzania
Mbelgiji amekuja kuhakikisha amani yetu inaondoka yaani yeye kila akisimama jukwaani hana kauli za amani ni Shari tu,
Mara ooh patachimbika,
Kitaeleweka,
Tutaingia barabarani,
Tutawapeleka ICC.
Huyu mtu ana matatizo sio bure.
Kuhisiwa pekee kwamba yeye na familia yake si raia tena wa Tanzania kwa hakika si jambo la kupuuzwa na kwanza na yeye Tundu na pia vyombo vya Dola.
Tundu Lissu anapaswa mara moja alitolee ufafanuzi suala hilo na tena kwa ushahidi.
Pili vyombo vya Dola vimchunguze Tundu Lissu kama ni kweli si Mtanzania tena ili mara moja hatua stahiki zichukuliwe.
Yani ccm mwaka huu wanaweweseka sana inafikia hatua njiani mwanaccm anaongea peke yakeKuhisiwa pekee kwamba yeye na familia yake si raia tena wa Tanzania kwa hakika si jambo la kupuuzwa na kwanza na yeye Tundu na pia vyombo vya Dola.
Tundu Lissu anapaswa mara moja alitolee ufafanuzi suala hilo na tena kwa ushahidi.
Pili vyombo vya Dola vimchunguze Tundu Lissu kama ni kweli si Mtanzania tena ili mara moja hatua stahiki zichukuliwe.
Mbelgiji amekuja kuhakikisha amani yetu inaondoka yaani yeye kila akisimama jukwaani hana kauli za amani ni Shari tu,
Mara ooh patachimbika,
Kitaeleweka,
Tutaingia barabarani,
Tutawapeleka ICC.
Huyu mtu ana matatizo sio bure.
Na amesema mkileta akili za polepole tuwalambe viboko kutoka dodoma hadi chato.Mbelgiji amekuja kuhakikisha amani yetu inaondoka yaani yeye kila akisimama jukwaani hana kauli za amani ni Shari tu,
Mara ooh patachimbika,
Kitaeleweka,
Tutaingia barabarani,
Tutawapeleka ICC.
Huyu mtu ana matatizo sio bure.
Hao hawakufata TAMASHA, ni mvuto toka moyoni kwa mkombozi TAL na CDMCardiac arrestView attachment 1582988
How old are you?Kuhisiwa pekee kwamba yeye na familia yake si raia tena wa Tanzania kwa hakika si jambo la kupuuzwa na kwanza na yeye Tundu na pia vyombo vya Dola.
Tundu Lissu anapaswa mara moja alitolee ufafanuzi suala hilo na tena kwa ushahidi.
Pili vyombo vya Dola vimchunguze Tundu Lissu kama ni kweli si Mtanzania tena ili mara moja hatua stahiki zichukuliwe.
Mkuu wala siyo ajabu yeyote naye dai haki na kutishia uwepo wa CCM huwa anapewa tuhuma hizo.Hili la uraia wa Lissu ndo kwanza nalisikia kwako
Hiyo ni mbinu ya kijinga na chafu ya Serikali ya Awamu hii iliyotumika sana miaka 5 iliyopita ikiwa na nia ya kuwanyamazisha wapinzani au wakosoaji lakini mara nyingi imeshindikana kwa kukosa ushaidi. Wananchi wengi sana wanaishi nchini passport zao zikiwa zinashikiliwa na Serikali kwa madai kuwa watu hao si Raia na uchunguzi utaendelea miaka baadaye kimyakimya hurudishiwa passport zao lengo likiwa limetimia lakini wahusika wakiwa wamepoteza kila kitu. Wameona anakuja vibaya kwa upande wao kwenye kampeni wanatafuta njia ya kumuengua kwa kutumia kila mbinu chafu kama hiyo pia ameitwa afike mbele ya kamati ya maadili kujibu tuhuma zisizowekwa bayana. Toka kampeni zianze wamekuwa wakimshutumu kuwa anatumia lugha za matusi lakini hakuna anayetaja matusi hayo na lini na nani anatukanwa. Mwezi mmoja wa kampeni imekwisha salama waelewa wanafurahi lakini wa upande wa pili hawapendi kuona yanayoendelea wanaanza kutumia vyombo vya dola kufanya chokochoko ili kupunguza au kusitisha kabisa kasi ya kampeni ya Mgombea wa Upinzani. Mgombea wa Upinzani anakubalika sana na wananchi na Serikali inachofanya kujaribu kumuengue ili mgombea wao apite kwa urahisi ni hatari sana inaweza ikaleta machafuko yakashindikana kuzimwa. Mpaka sasa Polisi wamefanya kazi nzuri sana kwa kutokuelekea upande mmoja kama ilivyo kawaida yao ingawa wachache imewagharimu na tunawapa pole na kuwaomba waendelee kulinda raia na mali zao. Mh. Lissu unaifahamu sana Serikali hii na wa Serikalini keep your distance but never surrender you are the only hope. Wishing you all the best as you face Pharaoh!Kuhisiwa pekee kwamba yeye na familia yake si raia tena wa Tanzania kwa hakika si jambo la kupuuzwa na kwanza na yeye Tundu na pia vyombo vya Dola.
Tundu lisu anapaswa mara moja alitolee ufafanuzi suala hilo na tena kwa ushahidi.
Pili vyombo vya Dola vimchunguze Tundu lisu kama ni kweli si mtanzania tena ili mara moja hatua stahiki zichukuliwe.
Kuhisiwa pekee kwamba yeye na familia yake si raia tena wa Tanzania kwa hakika si jambo la kupuuzwa na kwanza na yeye Tundu na pia vyombo vya Dola.
Tundu Lissu anapaswa mara moja alitolee ufafanuzi suala hilo na tena kwa ushahidi.
Pili vyombo vya Dola vimchunguze Tundu Lissu kama ni kweli si Mtanzania tena ili mara moja hatua stahiki zichukuliwe.