Kuambukiza HIV/Ukimwi kwa makusudi jela kuanzia miaka 5-10, kumtaja mwenye HIV jela hadi mwaka mmoja

Kuambukiza HIV/Ukimwi kwa makusudi jela kuanzia miaka 5-10, kumtaja mwenye HIV jela hadi mwaka mmoja

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Leo nimepitia sheria ya Ukimwi/HIV iliyopitishwa mwaka 2008 baada ya kusikia mwamba wa Mara huko kafungwa miaka 7 kwa kusambaza Ukimwi makusudi.

Kifungu cha 47 cha sheria hiyo kinasema mtu yeyote kwa makusudi akasambaza virusi vya ukimwi kwa mtu mwingine atakuwa ametenda kosa na akithibitika ametenda hilo kosa anatakiwa kufungwa kifungo kisichopungua miaka mitano na kisichozidi miaka 10.

Kifungu cha 46 kinamhukumu mhudumu wa afya atakayevunja usiri wa taarifa za afya za mgonjwa pia zinamuhukumu mtu yeyote atakayetoa taarifa kuhusu hali ya kiafya ya mtu endapo ameambukizwa au hana HIV/AIDS faini isiyopungua laki tano na isiyozidi milioni moja au kifungo cha miezi 6-12 au vyote kwa pamoja.

Zaidi, nimeambatanisha sheria husika. Kipengele cha hukumu kipo mwishoni...
 

Attachments

Kama tujuavyo, dunia Ina maudhi mengi. ila kwangu kwa sasa, udhi namba moja ni haya majitu yanayoambuliza virusi vya UKIMWI kwa makusudi. haya majitu yanayoishi kwa nguvu za ARV, tuanyaona. yamevimbiana (unene bandia) hivyo kwa wale wanaopima kwa macho hawawezi kuwastukia.

sijui ARV zisitishwe?
 
Kama tujuavyo, dunia Ina maudhi mengi. ila kwangu kwa sasa, udhi namba moja ni haya majitu yanayoambuliza virusi vya UKIMWI kwa makusudi. haya majitu yanayoishi kwa nguvu za ARV, tuanyaona. yamevimbiana (unene bandia) hivyo kwa wale wanaopima kwa macho hawawezi kuwastukia.

sijui ARV zisitishwe?

Shindwa kwa damu ya Yesu.
Kuna watoto wamezaliwa nao unataka wakose haki ya kuishi kisa wewe hautaki kuacha uasherati na uzinzi? Uchi usipite mbele yako unautaka?

Na kuna waliotulia kwenye ndoa wameletewa na wenza wao unataka wakose dawa wafe kisa wewe uwe huru kukitombesha hicho kidudu chako bila kuhofia maradhi?

Watu acheni tu umalaya , ukimpata mpenzi pimeni oaneni na muache uasherati ndio mtapona ns huu ugonjwa tofauti na hapo “ mshahara wa dhambi ni mauti”.
 
Kupeana alerts muhimu sana sana kipindih hiki, bila hivyo hatujengi bali tunabomoa .Fikiria jamaa limenenepeana alafu linawinda vitoto vya shule na visichana vidogo ,ingawa hizo ni ethics za kitabibu lakini kikwete alisema zakuambiwa changanya na zakwako ,kutoa mitonyo juu ya haya mambo ni kama traffic police mwenye torch aliye jificha porini , huu pindi madereva wajuavyo huambiana na kupunguza spidi as a result usalama unakuwa barabarani
 
Back
Top Bottom