Sasa mambo ya ukristo yameingiaje kwenye mapambio yako kwa hao wayahudi unao wahusudu ?Katika vitu ambavyo nawalaumu ndugu zangu wa uislam ni kujitoa akili kuamini kuwa magroupe ya hamas,hezbollah wanaweza kumpiga myahudi
Huu ni ujinga na unyanyasaji wa haki za binadamu
Myahudi sio mkristo ila ndugu zangu myahudi akili zake haziko Sawa na ni mtu wa vita sisi tuombe tu amani uko bila ivo ataua raia wengi uko lebanon na Gaza akisumbuliwa saana hanaga cha kupoteza Yule
Kwa hiyo tuache ushabiki kwenye mambo ya vita
Katika vitu ninavyowalaumu ndugu zangu Wakristo ni kuamini kwamba hawa waisrael wa leo ni ndugu zao kiimani.Katika vitu ambavyo nawalaumu ndugu zangu wa uislam ni kujitoa akili kuamini kuwa magroupe ya hamas,hezbollah wanaweza kumpiga myahudi
Huu ni ujinga na unyanyasaji wa haki za binadamu
Myahudi sio mkristo ila ndugu zangu myahudi akili zake haziko Sawa na ni mtu wa vita sisi tuombe tu amani uko bila ivo ataua raia wengi uko lebanon na Gaza akisumbuliwa saana hanaga cha kupoteza Yule
Kwa hiyo tuache ushabiki kwenye mambo ya vita