Kuna watu inatutokea unaamka asubuhi na kukuta sehemu ya nywele kiachwani au kidevu ghafla zimenyolewa kwa mtindo wa Ki/vishilingi an nywele huchelewa sana kuota tena. Hii kisayasansi inasababishwa na nini? Kuna watu wanasema uchawi lakini sipendi sana kuamini hilo!
Majibu tafadhali!
Majibu tafadhali!