SoC04 Kuandaa mpango kazi juu ya upatikanaji wa vitambulisho online

SoC04 Kuandaa mpango kazi juu ya upatikanaji wa vitambulisho online

Tanzania Tuitakayo competition threads

Gaston Yohana

New Member
Joined
May 24, 2024
Posts
1
Reaction score
1
Mim nilikuwa nashauri serikali ianzishe mpango kazi mzurii juu ya kurahisisha upatikanaji wa vitambulisho kwa njia ya mtandaoni(online)ambapo mwananchi ataweza kuweka tarifa zake mtandaoni akiwa mahari popote nchini,ili kupunguza usumbufu wa wananchi kwenda ofisi za nida ambapo muda mwingnee unaweza kwenda ukakuta folenii ila serikali ikianzisha huu mfumo wa online itasaidia kupunguza usumbufu kwa wananchi ambapo mwananchi ataweza kujiandikisha online na kuweka taarifa zake sahihi na kuweza kupata vitambulisho kwa urahisi zaidii
 
Upvote 2
Mim nilikuwa nashauri serikali ianzishe mpango kazi mzurii juu ya kurahisisha upatikanaji wa vitambulisho kwa njia ya mtandaoni(online)ambapo mwananchi ataweza kuweka tarifa zake mtandaoni akiwa mahari popote nchini,ili kupunguza usumbufu wa wananchi kwenda ofisi za nida ambapo muda mwingnee unaweza kwenda ukakuta folenii ila serikali ikianzisha huu mfumo wa online itasaidia kupunguza usumbufu kwa wananchi ambapo mwananchi ataweza kujiandikisha online na kuweka taarifa zake sahihi na kuweza kupata vitambulisho kwa urahisi zaidii
 
mfumo wa online itasaidia kupunguza usumbufu kwa wananchi ambapo mwananchi ataweza kujiandikisha online na kuweka taarifa zake sahihi na kuweza kupata vitambulisho kwa urahisi zaidii
Shida ni uhakiki wa utaifa, ikiwa online tu na haya ma VPN tusije kisajili hadi wajeruman wakijifanya waTz. Ila wakijisajili hao fresh tu ruongeze akili bongo🤩
 
Back
Top Bottom