Kuandika business plan ni kupoteza muda

Kuandika business plan ni kupoteza muda

Unaongelea Biashara Ipi? Be Serious! Bussness Plan Is Nothing But A Bussness Goals And How To Achieve Them,,,,, ,
 
Kuandika mpango wa biashara ni jambo muhimu sana sababu itakusaidia kuanza biashara yako hatua kwa hatua
tofauti na yule mtu ambae anajianzia tu mana atakuwa leo anafanya hili kesho lingine
akipata changamoto kidogo na biashara anaacha
 
Uko sahihi ingia 'field' kwanza,mtaji ukikua ndio uanze kuandika business plan
 
Business plan au kwa lugha ya kiswahili Mchanganuo wa biashara, kwa uelewa wangu una kazi zifuatazo.

1. Kumuongoza mtu na kumpa mchanganuo wa biashara anayotaka kuifanya.

Mfano unataka kuanzisha biashara ya kukamua mafuta ya alizeti huezi ukarupuka na kusema 10mil inatosha, lazima ukae ufanye tafiti kidogo, na hapa sio una assume prices, lazima uweke price zilizo realistic, mfano:
-je mashine za kukamua alizeti ni bei gani
-mashine inakula umeme kiasi gani
-chupa unazotumia kupack mafuta yako iwe 1ltr, 3ltr, 5ltr ni shingapi
- labels nazo bei gani
-je gunia la alizeti ni how much(kipindi cha on season bei iko chini/off season bei iko juu)
-mafuta utauza bei gani
-mashudu utauza bei gani
Hizi ni factors chache tu sio lazima kuichambua hii biashara in deep

2.kazi nyingine ya business plan inamsaidia mtu apewe mkopo(loan), kma wewe ni mfanya biashara na unataka uchukue loan kubwa ya ku grow au ku expand lazima business plan ihusike, hyo business plan itaandikwa kwa kutokana mtiririko wa financial records zako, toka uanze biashara, kma una previous loans umewahi ku clear vizuri au kudefault n.k, hii business plan ndo itakukingia wewe kifua uweze pata mkopo bank wa kutanua biashara yako. Washanya biashara wakubwa wengi wakifika stage ya ku expand their businesses lazima watumie business plans, kuna mashirika mengi wanaandika business plans na kuwasaidia watu wapate mkopo.

3. Business plan inamsaidia mfanya biashara aweze kupata wawekezaji(investors), bila business plan, huwezi kumshawishi mwekezaji aingize pesa kwenye biashara yako, lazima umpe business plan, una pitch(present) business plan mbele yake, au pannel akiwa convinced anawekeza pesa in ur venture

4. Business plan, inatumika kumsaidia mtu apate grants (ruzuku), kuna organization nyingi tu zinatoa grant funding, but lazima uwe na mchanganuo wa biashara.

Naongea with experience, kma entrepreneur, bcz nishapitia process ya kutafuta loan, nishajaribu kutafta investors, na pia nishawai kuandika kuomba grants na nikapata grant funding three times.

Lakini kama unafanya a normal business sio lazima uingie deep kuandika professional business plan, fanya tafiti, zijue gharama zote (costs) jua mauzo yako (sales), then chukua sales minus costs upate faida (profit) haina haja kuandika professional business plan, dont complicate.

Mwisho wa siku uwe na business plan au usiwe nayo haina maana kwamba, huwezi pata loss.

Japo kuna kipingele kwenye business plan inaitwa SWOT analysis (Strengths, Weakness, Opportunities, Threats) kwenye Weakness and Threats hapo ndo unaelezea possible conditions zinazoweza kukuletea hasara.

kuna unforseen events nyingi zinaweza kukuletea hasara, theft, kutapeliwa,mashine breakdowns, gari kupata ajali wakati una safirisha na products kuharibika n.k

Note: Huo ndo uelewa wangu, siongei kama consultant kwamba nimejaribu kujitangazia indirectly nipate watu niwaandikie business plans, hua nikiandika B.P hua i do it for my own use.




Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umemaliza kila kitu, Umemuelewa mleta mada vizuri
 
Business plan au kwa lugha ya kiswahili Mchanganuo wa biashara, kwa uelewa wangu una kazi zifuatazo.

1. Kumuongoza mtu na kumpa mchanganuo wa biashara anayotaka kuifanya.

Mfano unataka kuanzisha biashara ya kukamua mafuta ya alizeti huezi ukarupuka na kusema 10mil inatosha, lazima ukae ufanye tafiti kidogo, na hapa sio una assume prices, lazima uweke price zilizo realistic, mfano:
-je mashine za kukamua alizeti ni bei gani
-mashine inakula umeme kiasi gani
-chupa unazotumia kupack mafuta yako iwe 1ltr, 3ltr, 5ltr ni shingapi
- labels nazo bei gani
-je gunia la alizeti ni how much(kipindi cha on season bei iko chini/off season bei iko juu)
-mafuta utauza bei gani
-mashudu utauza bei gani
Hizi ni factors chache tu sio lazima kuichambua hii biashara in deep

2.kazi nyingine ya business plan inamsaidia mtu apewe mkopo(loan), kma wewe ni mfanya biashara na unataka uchukue loan kubwa ya ku grow au ku expand lazima business plan ihusike, hyo business plan itaandikwa kwa kutokana mtiririko wa financial records zako, toka uanze biashara, kma una previous loans umewahi ku clear vizuri au kudefault n.k, hii business plan ndo itakukingia wewe kifua uweze pata mkopo bank wa kutanua biashara yako. Washanya biashara wakubwa wengi wakifika stage ya ku expand their businesses lazima watumie business plans, kuna mashirika mengi wanaandika business plans na kuwasaidia watu wapate mkopo.

3. Business plan inamsaidia mfanya biashara aweze kupata wawekezaji(investors), bila business plan, huwezi kumshawishi mwekezaji aingize pesa kwenye biashara yako, lazima umpe business plan, una pitch(present) business plan mbele yake, au pannel akiwa convinced anawekeza pesa in ur venture

4. Business plan, inatumika kumsaidia mtu apate grants (ruzuku), kuna organization nyingi tu zinatoa grant funding, but lazima uwe na mchanganuo wa biashara.

Naongea with experience, kma entrepreneur, bcz nishapitia process ya kutafuta loan, nishajaribu kutafta investors, na pia nishawai kuandika kuomba grants na nikapata grant funding three times.

Lakini kama unafanya a normal business sio lazima uingie deep kuandika professional business plan, fanya tafiti, zijue gharama zote (costs) jua mauzo yako (sales), then chukua sales minus costs upate faida (profit) haina haja kuandika professional business plan, dont complicate.

Mwisho wa siku uwe na business plan au usiwe nayo haina maana kwamba, huwezi pata loss.

Japo kuna kipingele kwenye business plan inaitwa SWOT analysis (Strengths, Weakness, Opportunities, Threats) kwenye Weakness and Threats hapo ndo unaelezea possible conditions zinazoweza kukuletea hasara.

kuna unforseen events nyingi zinaweza kukuletea hasara, theft, kutapeliwa,mashine breakdowns, gari kupata ajali wakati una safirisha na products kuharibika n.k

Note: Huo ndo uelewa wangu, siongei kama consultant kwamba nimejaribu kujitangazia indirectly nipate watu niwaandikie business plans, hua nikiandika B.P hua i do it for my own use.




Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa haya maelezo umefunga mjadala. Kwa ufupi unaitumia vizuri shule yako.

Ni kosa kufikiri ile kuwa na business plan pekee ndio uhakika wa biashara kufanikiwa. Sawa na shirika au kampuni kuwa na strategy, kuwa nayo ni muhimu na jambo zuri sana lakini isipotekelezwa vizuri haitakua mafanikio hayatapatikana.

Ndio maana hata kampuni ya yule mtaalam wa strategy Michael Porter ilifilisika na watu kujiuliza inakuwaje nguli anaesaidia wengine wafanikiwe ameanguka anguko kubwa?
BP ina umuhimu sana, lakini umakini na umuhimu wa kuitekeleza uko pale pale.
 
Munapokosana padogo tu, mtoa mada anazungumzia Professional business plan ni yupo sahihi uwezi eti wewe unamtaji wako 10Mill unataka kufungua mgahawa then ukae chini unaandaa professional business plan ni utaanndaa Business plan lakini ni yamchanganyuo wa ghalama, mayumizi na faida ila sio eti uwandae ile plan professional yenye misingi ya uwandishi unless use unahitaji mkopo, muwekezaji au sponser yoyote hapo itakuhitaji kuandaa professional business plan.

Hitimisho
Ni kweli kuandaa business plan ni kupoteza mud if ikiwa mtajibunao uitaji msaa but plan inayozungumziwa hapa ni professional business plan document.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wazi hujui/ hujawahi hata kuandika business plan yeyote kwenye genge lako la vitumbua.

Unajua Vipengele vya Market Analysis na financial plan Projections vina kazi gani??
Hata mimi nimehisi hivyo au kama kashawahi basi hajui jinsi ya kuandika.
 
Mkuu umevamia ugali wa watu. Watu wanaishi kwa ulaghai wa kuandika BP mjini. Halafu mtu BP nzima anaandika kwa 50,000. Yaani anagoogle anapata BP ya kuzalisha mende anaedit anakupa wewe eti anzisha kiwanda cha kukamua alizeti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mihemko ya serikali na taasisi zake hakuna b.plan itakayofanya kazi.
..leo kodi ya mabango..
...jana korosho..
...unawekwa ndani..
..mara usafi j.mosi..
..mwenge..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiwahi kuunguza milioni tisa kwenye biashara ya vitunguu kwa kufuatisha biz plan.
Biashara ni kuanza na mtaji kiduchu ili kupima kina cha maji.
 
Mkuu umevamia ugali wa watu. Watu wanaishi kwa ulaghai wa kuandika BP mjini. Halafu mtu BP nzima anaandika kwa 50,000. Yaani anagoogle anapata BP ya kuzalisha mende anaedit anakupa wewe eti anzisha kiwanda cha kukamua alizeti

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaaaaa ndio maana kuna watu wamekuwa wakali sana humu ndani,Ni hii ndio maana maskini wameendelea kuwa maskini wakutupwa,Kwa sababu wanafundishwa kufanya vitu ambavyo haviwezi kukuza biashara zao hata kidogo.. Wenye Akili Tunaelewana haraka sana,Ila walio kalili hawawezi kuelewa kabisaaa.
 
Nikiwahi kuunguza milioni tisa kwenye biashara ya vitunguu kwa kufuatisha biz plan.
Biashara ni kuanza na mtaji kiduchu ili kupima kina cha maji.
Kiukweli B.plan haina uhalisi wa ukweli kwenye biashara, B.plan ni kama kula BigG mwanzo tamu mwishoni Inabaki mpira tu,Biashara ni kuanza then jiimalishe katika Marketing skills na Sales methods tu.
Matajiri tushaelewana,Maskini bado wapo gizani..
 
Hata mimi nimehisi hivyo au kama kashawahi basi hajui jinsi ya kuandika.
Hata mbuyu ulianza kama mchicha,ila mchicha haujawai kuwa mbuyu,..Endelea KUHISI.. Alafu Dec tulete bank statement zetu hapa.. za wewe Muandika B.plan, Nasisi Tunaosema kuandika B.plan ni UZWAZWA
 
Kweli mkuu!!!Biashara ni vitendo,mbwembwe kibaaaaaaaoooooooo hazisaidiiiiiiii.
 
Business plan ni muhimu sana itakusaidia kwanza kukimbia au kama sio kupunguza hasara ya biashara yako pia itakusaidia kwenye uendeshaji wa biashara na strategy ambazo utaitaji kutumia kupata hiyoo faidi kwa upande wangu pia imenifanya kupata mikopo na kujenga uaminifu kwa financial donors ambao wataitaji kuinvest au kunikopesha pesa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nadhani biznes plan yenyewe hujui ni nini? Biznes plan haikufanyi wewe usifel, vile vile in biznes hua tuna assume physical factors remains constant hii labda ndo sababu ya watu wengi kufeli but biznes plan ina faida yake. Ndege zetu zileee

Nani ananifahamu?
 
Back
Top Bottom