Watu hawajawa tu serious na uwekezaji.sure mkuu,
leo nimeangalia pia game ya singida bs, pitch ni nzuri ila uwanja kwa ujumla hawajaukarabati........
sijui kuukarabati ule uwanja na kuweka majukwaa mazuri (kama aliyoweka azam) inagharimu kiasi gani..... sidhani kama inafika hata 1b......
B1 si mchezo, na hata akitokea mfadhili bado watu wataipiga na kuweka kituko tusure mkuu,
leo nimeangalia pia game ya singida bs, pitch ni nzuri ila uwanja kwa ujumla hawajaukarabati........
sijui kuukarabati ule uwanja na kuweka majukwaa mazuri (kama aliyoweka azam) inagharimu kiasi gani..... sidhani kama inafika hata 1b......