Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Ligi yetu tunaambiwa inakuwa kwa kasi lakini aisee nikiangalia mechi ambayo haipigwi Azam complex huwa sioni mvuto wowote..
Tuwekeze kwenye viwanja aisee...Kwa Mkapa hadi leo hamna hata tv screens za matangazo pembezoni..tuko serious kweli?..Taa za kuunga unga,aibu tupu.
Uzi tayari..shots kadhaa za grants kichwani.
Tuwekeze kwenye viwanja aisee...Kwa Mkapa hadi leo hamna hata tv screens za matangazo pembezoni..tuko serious kweli?..Taa za kuunga unga,aibu tupu.
Uzi tayari..shots kadhaa za grants kichwani.