Kuangalia mpira na wanawake ni shiiidah

Maranzana

Senior Member
Joined
Sep 1, 2010
Posts
192
Reaction score
97
MKE NA MUME WAKIANGALIA MECHI YA ARSENAL NA CHELSEA:
WIFE: Baby, yule ni nani? Ni Chris
Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walcott
WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?
HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card
inamaanisha mchezaji atoke inje ya uwanja.
WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light!
Yellow- Ilani na Red - Simama
HUSBAND: Yeah yeah swity! Ndio hivyo.
WIFE: Na je Green Card??
HUSBAND: Aaaah! Hiyo haipo.
WIFE: Nataka Arsenal ishinde world cup.
HUSBAND: [kimya]
WIFE: Ni nani yule mzee anafanana na
Mr. Bean??
HUSBAND: Yeees swity, yule ni kocha wa
Arsenal, anaitwa Arsene Wenger.
WIFE: Oooooh! inamaanisha yule kocha
mwengine ni Chelsea Wenger??
HUSBAND: [Kabadilisha channel]
 
Hahahaha nikiingia jf sikosi kucheka
 
Umenikumbusha lile tangazo la Coca Cola katika World Cup

Binti: We Won!! We Won!! We Won!!
Njemba: But it's only half time?!
Binti: Ooooooh.. [huku akiona aibu kinoma noma]
 
Umenikumbusha lile tangazo la Coca Cola katika World Cup

Binti: We Won!! We Won!! We Won!!
Njemba: But it's only half time?!
Binti: Ooooooh.. [huku akiona aibu kinoma noma]

Alafu wale wengine wanashangilia six pack badala ya mpira
 
Yaaani nimechekaaaaa..hasa hiyo ya kufanana na mr bean..hahahaa mazafantaaaaa kweli huyo waifu
 
Hahahaha!! Hii kali siyo wote wengine ndo tunawafundisha wanaume mpira....Btw ngoja niwaite wenye timu yao watie neno BAK utafiti adolay Wacha1 na wengine njooni muone huku watu wana utani na Wenger wenu....
 
Last edited by a moderator:
hahaaaauaaaaa
dah wenger wangu mnamuita mr.bean?
 
Hili pambio la watan wetu, wanazidi kutubambikia udhaifu mpaka kwenye manyumba yetu.

everlenk Asernal tuko wavumilivu kama watanzania wanavyoivumilia ccm na mafisadi wake.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…