Kuangalia pono ni hatari kuliko kimelea cha ugonjwa

Kuangalia pono ni hatari kuliko kimelea cha ugonjwa

ultracrepidarian ni mtu ambae ana tabia ya kutoa ushauri au kueleza vitu ambavyo hata havijui.

Pre ejaculation ndo nini?
Pre inamaanisha 'before', ejaculation unaeza google kupata maana

Ejaculate kabla ya insertion
 
Siku hizi unavipimo vya kupima IDs nakutolea ripoti ?
Sasa kama kila wazo la maana unalofikir una connect na ngono kuna haja ya kipimo?
Nadhan vipimo Tunapima vitu physical tu mzee
Vingine tunakadiria
 
Sasa kama kila wazo la maana unalofikir una connect na ngono kuna haja ya kipimo?
Nadhan vipimo Tunapima vitu physical tu mzee
Vingine tunakadiria

Jitahidi ule na kunywa maji mengi
 
Kuangalia pono husababisha yafuatayo:

1. Pre-ejaculation ama kumwaga kabla ya dakika ya kutakiwa kufanya hivyo. Hii husababisha kutopata watoto ama kutomridhisha mwenzi


2. Husababisha ndoto nyevu na pale semen inapotakiwa kusababisha mimba basi huwa ina mbegu dhaifu


3. Mtu huyu huathirika afya ya akili, hawez kufikiria vizur kwa undani wa jambo fulani. Akiona kila mwanamke hafikirr fursa yoyote kutoka kwake bali hufikir ngono tu


4. Mapepo ya ngono humuandama, na dalili moja wapo wa kuwa na hizi spirits ni asilimia zaid ya 50 kuwaza ngono badala ya shughuli za maendeleo


5. Wakati aina za magonjwa mengine hutibiwa kwa medication, kuangalia pono husababisha ugonjwa wa akili ambao hauna matibabu bali ni kuacha na ukishindwa OKOKA umpe Yesu maisha yako. Yeye kwa kuwa alihisika kwenye uumbaji, atakuumba upya na kurudisha hali yako ya awali

yesu alihusika kwenye uumbaji ? na yeye yesu aliumbwa na nani ? adamu na yesu nani alitangulia nani alimuumba adam kama yesu alihusika kwenye uumbaji? nani alimuumba abraham wakati abraham alikuwepo kabla ya yesu. rudi ukasome
 
Kuangalia pono husababisha yafuatayo:

1. Pre-ejaculation ama kumwaga kabla ya dakika ya kutakiwa kufanya hivyo. Hii husababisha kutopata watoto ama kutomridhisha mwenzi


2. Husababisha ndoto nyevu na pale semen inapotakiwa kusababisha mimba basi huwa ina mbegu dhaifu


3. Mtu huyu huathirika afya ya akili, hawez kufikiria vizur kwa undani wa jambo fulani. Akiona kila mwanamke hafikirr fursa yoyote kutoka kwake bali hufikir ngono tu


4. Mapepo ya ngono humuandama, na dalili moja wapo wa kuwa na hizi spirits ni asilimia zaid ya 50 kuwaza ngono badala ya shughuli za maendeleo


5. Wakati aina za magonjwa mengine hutibiwa kwa medication, kuangalia pono husababisha ugonjwa wa akili ambao hauna matibabu bali ni kuacha na ukishindwa OKOKA umpe Yesu maisha yako. Yeye kwa kuwa alihisika kwenye uumbaji, atakuumba upya na kurudisha hali yako ya awali
Chochote kile tukifanyacho duniani kina faida na hasara so usiegemee upande mmoja tu
 
yesu alihusika kwenye uumbaji ? na yeye yesu aliumbwa na nani ? adamu na yesu nani alitangulia nani alimuumba adam kama yesu alihusika kwenye uumbaji? nani alimuumba abraham wakati abraham alikuwepo kabla ya yesu. rudi ukasome
Nadhani anzisha uzi mwingine jukwaa la dini kama lipo
 
Na yapi ni madhara ya vimelea vya ugonjwa ??
 
Umeanza vzur, lakn ulpoanza tu kuongelea habar za yesu ndiyo umeharibu kabsa.

Matatzo ya saikolojia hutibiwa kitabibu ikiwepo ushauri nasaha, mazoezi ya akili&meditation, lamwisho kabsa ni kuoa ama kujikeep busy.

Hizo iman za kidin hazijawai kuwa suluhisho kwa matatzo haya, na ndiomaana magenge ya walokole huwakut mahospitaln kufanya maombi.

Tafuteni elimu kwa bidii
 
Back
Top Bottom