Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Utekwaji wa kukumbukwa zaidi ni wa Dr. Steven Ulimboka aliyeongoza mgomo wa madaktari enzi za Kikwete....
Alitekwa kisayansi kwa kujipeleka mwenyewe mdomoni mwa mwamba.
Wakamchukua wakampeleka huko kwao wakamtesa vilivyo kisha wakaenda kumtupa Mabwepande
Mapori ya Mwabwepande ndio yalikuwa yanaogopeka sana kipindi Hicho kwa watu kwenda lutupwa
Kabla ya hapo ilikuwa bonde la jangwani kuelekea Magomeni
Ya utekwaji wa Dr. Ulimboka ukafuatiwa na matukio ya watu kuvamiwa wanaporudi makwao hasa wanapoongia getini.
Matukio ya kukumbukwa zaidi ni waandishi Absalom Kibanda na Said Kubenea.. Huyu alivamiwa akiwa ofisini kwake akamwagiwa kimiminika kibaya usoni.. Kibanda alipokea kipondo heavy.
Matukio ya kuvamiwa ndani ya ua na kuuwawa ni yule mwanasheria simkumbuki jina.. Na Dr. Sengodo Mvungi wa NCCR ..huyu walimvamia ndani kwake na kumchanja mapanga ya kutosha mpaka wakamuua.
Baada ya hapo ndio kama kipenda kikawa kimepigwa.. Watu wakaanza kupotezwa kwa kasi sana hasa kipindi cha mwenda zake.. Fasheni mpya ikawa ni kutiwa kwenye sandarusi na kwenda lutupwa baharini.. Lakini kwa bahati mbaya bahari haikai na uchafu huutapika.
Matukio ya kuokotwa maiti kwenye fukwe za bahari yakawa mengi.. Na kwa asilimia 95 wahanga ni wapinzani na wakosoaji wa mamlaka
Mpaka kufikia hakuna mtekaji hata mmoja na pengine watesaji na wauaji ambao waliwahi kutajwa kwa uwazi na moja kwa moja kwa majina yao.. Ukiachilia tukio la kushabuliwa Lissu.
Kuna kipindi taifa lilipumua kidogo kukawa na amani ya mpito.. Taharuki ikapoa.. Lakini ghafla kuanzia mwaka jana mambo yakaanza kubadilika kwa haraka.. Utekaji utesaji kupotea kwa watu na mauaji vikatamalaki tena..
Kufika mwaka huu hali ikawa mbaya zaidi na kwenye kilele cha haya matukio kuna watu wakaanza kutwaja moja kwa moja kwa majina na vyeo vyao.. Kwa matukio ya nyuma na ya sasa!
Kuanzia hapo kuna kautilivu na kaukimya kametawala.. Lakini bado kiza ni kinene
Kushutumiwa na kutuhumiwa kwa makampuni za simu kutoa taarifa za faragha za wateja kwa mamlaka kumeleta taharuki mpya na faraja kwa kiasi chake
Je, watekaji watesaji na wauaji wataendelea kuaniakwa kwa uthubutu uleule? Je huu ndio mwisho wao?
Tuupe muda wakati.
Alitekwa kisayansi kwa kujipeleka mwenyewe mdomoni mwa mwamba.
Wakamchukua wakampeleka huko kwao wakamtesa vilivyo kisha wakaenda kumtupa Mabwepande
Mapori ya Mwabwepande ndio yalikuwa yanaogopeka sana kipindi Hicho kwa watu kwenda lutupwa
Kabla ya hapo ilikuwa bonde la jangwani kuelekea Magomeni
Ya utekwaji wa Dr. Ulimboka ukafuatiwa na matukio ya watu kuvamiwa wanaporudi makwao hasa wanapoongia getini.
Matukio ya kukumbukwa zaidi ni waandishi Absalom Kibanda na Said Kubenea.. Huyu alivamiwa akiwa ofisini kwake akamwagiwa kimiminika kibaya usoni.. Kibanda alipokea kipondo heavy.
Matukio ya kuvamiwa ndani ya ua na kuuwawa ni yule mwanasheria simkumbuki jina.. Na Dr. Sengodo Mvungi wa NCCR ..huyu walimvamia ndani kwake na kumchanja mapanga ya kutosha mpaka wakamuua.
Baada ya hapo ndio kama kipenda kikawa kimepigwa.. Watu wakaanza kupotezwa kwa kasi sana hasa kipindi cha mwenda zake.. Fasheni mpya ikawa ni kutiwa kwenye sandarusi na kwenda lutupwa baharini.. Lakini kwa bahati mbaya bahari haikai na uchafu huutapika.
Matukio ya kuokotwa maiti kwenye fukwe za bahari yakawa mengi.. Na kwa asilimia 95 wahanga ni wapinzani na wakosoaji wa mamlaka
Mpaka kufikia hakuna mtekaji hata mmoja na pengine watesaji na wauaji ambao waliwahi kutajwa kwa uwazi na moja kwa moja kwa majina yao.. Ukiachilia tukio la kushabuliwa Lissu.
Kuna kipindi taifa lilipumua kidogo kukawa na amani ya mpito.. Taharuki ikapoa.. Lakini ghafla kuanzia mwaka jana mambo yakaanza kubadilika kwa haraka.. Utekaji utesaji kupotea kwa watu na mauaji vikatamalaki tena..
Kufika mwaka huu hali ikawa mbaya zaidi na kwenye kilele cha haya matukio kuna watu wakaanza kutwaja moja kwa moja kwa majina na vyeo vyao.. Kwa matukio ya nyuma na ya sasa!
Kuanzia hapo kuna kautilivu na kaukimya kametawala.. Lakini bado kiza ni kinene
Kushutumiwa na kutuhumiwa kwa makampuni za simu kutoa taarifa za faragha za wateja kwa mamlaka kumeleta taharuki mpya na faraja kwa kiasi chake
Je, watekaji watesaji na wauaji wataendelea kuaniakwa kwa uthubutu uleule? Je huu ndio mwisho wao?
Tuupe muda wakati.