Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

We una DNA za manabii
 
Kuna watu mmekalia vipaji, kama mngevitumia mngekuwa mbali sana. Anzisha kampuni ya Kubet itakutoa Mkuu.
 
Huu ni unabii mkuu Kama vipi tuanzishe kanisa nasisi tutembelee helcopter ...

Du!! Mwaka 2012 umeichungulia 2015 ntashangaa sana Kama ndg. Wewe ikiwa kipato chako kwa Sasa ni chini ya dola moja kwa siku Kama Mimi ...

Hichi ni kipaji cha unabii Mzee fungua kanisa ... Upige fweza
 
Inawezekana ni mwana-kitengo, alikuwa anajua kilichokuwa kinaendelea.
 
Huu utabiri huu.....
 
Wewe jamaa ni nyoko aisee kwamba watakao mpinga watapotea na wasijulikane wako wapi aisee RIP Ben sanane wewe jamaa ni nabii aisee lakin nahis utakuwa uko jikon kabisa dah umeniacha hoi mkuu

Nachojiuliza ulijuaje yote haya mkuu?
 
Kweli yametokea
 
i wish ningekufahamu nikupe japo elfu kumi kama pongezi kwa maono yako yakinifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…