Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Ni kweli kuwa watanzania wanategemea sura moja wapo kati ya hizo lakini hakuna sura ya udikteta hapo wote hao ni watu wa democracia kwa wingi.

Ila tukitaka tuendelee nakubaliana na wewe kuwa udikteta wafaa.ila uwe ule wakuleta maendeleo
Iron Lady upo vp habr yako
 
Nimekumbuka sana Ile comment aisee nikitaka kuelewa zaidi ngoja nije pm nijue zaidi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
wewe bi Dada unakumbuka ile comment yangu ya kwenye ule Uzi wa majuzi??
ukawa unataka kunichimba nimwage mboga? sasa nimekufukuria hili kaburi
ukishindwa kungamua kitu njoo Pm
 
PM yako haipokei message mbona
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
wewe bi Dada unakumbuka ile comment yangu ya kwenye ule Uzi wa majuzi??
ukawa unataka kunichimba nimwage mboga? sasa nimekufukuria hili kaburi
ukishindwa kungamua kitu njoo Pm
 
Niliwahi kusikia kuwa hao watu Deep state huwa wana angalia makosa /madhaifu ya rais aliyepo madarakani kisha wanakuja na majibu muafaka
.Mfn : Jakaya :kipindi chake safari zilikua nyingi mno za nje
Magufuli :kapunguza ama kaacha kabisa
Jakaya : kipindi chake watu wapiga sana hela EPA na kadhalika ,list ya mafisadi,mpk PM pinda akasema wakiguswa nchi itatikisika
Magufuli : yeye anawatia adabu vzr mno
Jakaya: kipindi chake wapinzani waliongea mno tena kwa nguvu zote wote tunakumbuka
Magufuli : yeye kapiga pini kabisa
Jakaya : kipindi chake watumishi walikua wanafanya kazi wajisikiavyo
Magufuli : kaondoa hy dhana

Na Rais Magufuli mpk sasa yuko sahihi kwa maelezo ya mleta Mada maana inaonekana bila kufanya hivi kuna tabia ingejengeka ,ingawa pia kuna madhaifu kadhaa wa kadhaa

Nadhani hata sasa hao Deep state wanatathimini haya yanayofanyika sasa then 2022 kuelekea 2025 waje na jina lingine

Yoyote kwa yoyote mleta Mada alikua deep zaidi
Hafu 2025 vile tutalia wee na ku miss jk basi wataleta tena mtu mpole hivi, though I believe magufuli alikuja kurekebisha makorongo ya ufisadi, uzembe uzembe siku akitoka tena madarakani tuta miss wallah kama Jakaya jinsi watu walivo mchoka sasa hivi wame mu miss
 
Mkuu MAGAMBA MATATU,

Nashukuru kwa maoni yako, lakini naomba nikukumbushe kuwa, haya unayoyaandika kama maono yako, yalikuwa yatokee 2010. Katika uchaguzi wa 2010, ccm walitumia kila hila kushinda ule uchaguzi, ccm waiba kura kwa mbinu mbalimbali, kuanzia urais mpaka udiwani. Kwa karama za Mungu, viongozi wa CDM walivumilia huo uchafu wote, ili damu ya mtanzania isimwagike, hata Mh. Dr. Slaa alilizungumzia hili.

Kwa hiyo, hayo maono yako sidhani kama yanaweza kutokea 2015 kwa sababu, hadi kufika huko ccm itakuwa imeshapoteza mvuto au itakuwa imeshajifia kabisa. Ila swala la CDM kuingia ikulu kwa umwagaji damu, hilo swala halipo...
eti unasemaje vile?
 
Sikubaliani na wewe, baada ya 2015 kutakuwa na katiba mpaya ambayo haitampa raisi madaraka makubwa na kutakuwa na utawala wa sheria, pia kuwawajibisha wavivu siyo udikteta, swala la mashoga raisi hawezi kuwa na maamuzi nalo kwani litakuwa chini ya mahakama ya katiba kuamua, kumbuka wakati huo mahakama zitakuwa huru, tofauti na sasa.

Kuhusu kupola mali za mafisadi huenda hasifanye hivyo, badala yake akawasamehe, akaunda tume ya uwazi na ukweli ambayo itawahoji watakaohisiwa walikuwa mafisadi ili wasaidie kuzuia ufisadi usitokee kirahisi.

Rais ajae atakuwa na kazi ngumu sana, kwani kila idara ya nchi imeoza na hawezi kuwa na nguvu sana kisheria kama alivyo raisi wa sasa.
nadhani umeona kilichotokea
 
huyu mleta mada lazima atakuwa ni kada cha chama fulani tena ni mjumbe kwa kikao cha halmashauri kuu ya chama, alijaribu kutupa mwanga ila tukaishia kung'ang'ania giza.
Cha moto tumekiona.
CCM mbele kwa mbele
 
Mungu akufumbue macho uone mwanga badala ya giza la udikteta!

tunapigania utawala wa sheria na haki, na ndio tunawataka watanzania wote pamoja na wewe tuelewe!
Tanzania ni ya watanzania wote, si ya hao unaowataja! Amka!
bado upo jf?
 
Haya ni mawazo yako , naweza kukuambia kuwa haya unayoyasema baadhi tao yapo sasa hivi , ubabe , kuvunjwa kwa baraza la mawaziri na mengine , free mason kuongelewa na wapuuzi bila sababu za msingi , so hakuna jipya
ni mawazo yake lkn yametimia
 
Sikubaliani na wewe, baada ya 2015 kutakuwa na katiba mpaya ambayo haitampa raisi madaraka makubwa na kutakuwa na utawala wa sheria, pia kuwawajibisha wavivu siyo udikteta, swala la mashoga raisi hawezi kuwa na maamuzi nalo kwani litakuwa chini ya mahakama ya katiba kuamua, kumbuka wakati huo mahakama zitakuwa huru, tofauti na sasa.

Kuhusu kupola mali za mafisadi huenda hasifanye hivyo, badala yake akawasamehe, akaunda tume ya uwazi na ukweli ambayo itawahoji watakaohisiwa walikuwa mafisadi ili wasaidie kuzuia ufisadi usitokee kirahisi.

Rais ajae atakuwa na kazi ngumu sana, kwani kila idara ya nchi imeoza na hawezi kuwa na nguvu sana kisheria kama alivyo raisi wa sasa.
hahaha
 
Back
Top Bottom