Mkuu
MAGAMBA MATATU,
Nashukuru kwa maoni yako, lakini naomba nikukumbushe kuwa, haya unayoyaandika kama maono yako, yalikuwa yatokee 2010. Katika uchaguzi wa 2010, ccm walitumia kila hila kushinda ule uchaguzi, ccm waiba kura kwa mbinu mbalimbali, kuanzia urais mpaka udiwani. Kwa karama za Mungu, viongozi wa CDM walivumilia huo uchafu wote, ili damu ya mtanzania isimwagike, hata Mh. Dr. Slaa alilizungumzia hili.
Kwa hiyo, hayo maono yako sidhani kama yanaweza kutokea 2015 kwa sababu, hadi kufika huko ccm itakuwa imeshapoteza mvuto au itakuwa imeshajifia kabisa. Ila swala la CDM kuingia ikulu kwa umwagaji damu, hilo swala halipo...