Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Ni kweli kuwa watanzania wanategemea sura moja wapo kati ya hizo lakini hakuna sura ya udikteta hapo wote hao ni watu wa democracia kwa wingi.

Ila tukitaka tuendelee nakubaliana na wewe kuwa udikteta wafaa.ila uwe ule wakuleta maendeleo
Iron Lady upo vp habr yako
 
Nimekumbuka sana Ile comment aisee nikitaka kuelewa zaidi ngoja nije pm nijue zaidi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
wewe bi Dada unakumbuka ile comment yangu ya kwenye ule Uzi wa majuzi??
ukawa unataka kunichimba nimwage mboga? sasa nimekufukuria hili kaburi
ukishindwa kungamua kitu njoo Pm
 
PM yako haipokei message mbona
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
wewe bi Dada unakumbuka ile comment yangu ya kwenye ule Uzi wa majuzi??
ukawa unataka kunichimba nimwage mboga? sasa nimekufukuria hili kaburi
ukishindwa kungamua kitu njoo Pm
 
Hafu 2025 vile tutalia wee na ku miss jk basi wataleta tena mtu mpole hivi, though I believe magufuli alikuja kurekebisha makorongo ya ufisadi, uzembe uzembe siku akitoka tena madarakani tuta miss wallah kama Jakaya jinsi watu walivo mchoka sasa hivi wame mu miss
 
eti unasemaje vile?
 
nadhani umeona kilichotokea
 
huyu mleta mada lazima atakuwa ni kada cha chama fulani tena ni mjumbe kwa kikao cha halmashauri kuu ya chama, alijaribu kutupa mwanga ila tukaishia kung'ang'ania giza.
Cha moto tumekiona.
CCM mbele kwa mbele
 
Mungu akufumbue macho uone mwanga badala ya giza la udikteta!

tunapigania utawala wa sheria na haki, na ndio tunawataka watanzania wote pamoja na wewe tuelewe!
Tanzania ni ya watanzania wote, si ya hao unaowataja! Amka!
bado upo jf?
 
Haya ni mawazo yako , naweza kukuambia kuwa haya unayoyasema baadhi tao yapo sasa hivi , ubabe , kuvunjwa kwa baraza la mawaziri na mengine , free mason kuongelewa na wapuuzi bila sababu za msingi , so hakuna jipya
ni mawazo yake lkn yametimia
 
hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…