Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Aiseeee huyu mkuu baada ya hapa alipotea mazima,hebu fukueni Uzi nyingine zinazomhusu za hivi Karibuni zaidi ya hapo atakuwa ni Wa kitengo au sponsor Wa Freemason asituzingue
 
Mungu akufumbue macho uone mwanga badala ya giza la udikteta!

tunapigania utawala wa sheria na haki, na ndio tunawataka watanzania wote pamoja na wewe tuelewe!
Tanzania ni ya watanzania wote, si ya hao unaowataja! Amka!
Wawisho kapigia mstari
 
Back
Top Bottom