Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Dah! Mkuu MAGAMBA MATATU umetisha vibaya. Yote yametimia isipokuwa tu hilo la kuvunja bunge!
 
Kamwenee
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Brita anatabia ya kike kujua kila kitu na kila mtu. Utazani kaambiwa amtaje kwa jina halisi sio la kwenye mada.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Massa, tabia ya kutaka kujua kila kitu sio tabia ya kike, hii inaitwa inquisitive, ni element muhimu kwa researchers, investigators, good lawyers na waandishi wa habari wa habari wa investigative journalism.

Tabia za kike ni kufuatilia maisha ya watu ili kutafuta umbea kwa ajili ya kuusambaza.

Kitendo cha kufananisha jina lolote la jf na mtu yoyote halisi ni kosa kubwa la kustahili ban, kwa sababu huku ni kumu expose mtu, which is not good at all kwa sababu kiukweli kabisa miongoni mwa wana jf, tuna jamaa kibao wa sehemu humu, mfano itokee umelijua jina halisi la Hutaki Unaacha, halafu ukamtaja, jee unajua ni nini kitakachompata?.

P
CC. britanicca
 
Hii sio name calling? Nadhani,kwa sheria na taratibu za JF, Mkuu britanicca unastahili ban mara moja. Umefanya jambo lisilo la kiungwana kabisa kwa kimbelembele chako.

Cc Invisible , Active
We ndo unapanga adhabu?

Kwanza kuthibitisha kwamba nastahili Ban kwa kosa gani?

Mi nimemtungia jina tu huyo kama wewe ambaye naweza kukuita Jina lolote haimaanishi ndo jina lako
 
Upo mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nimekwelewa pasco. Samahani nyingi kwa britannica. Ila ajitahidi kuwa na code kwenye mada zake.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Coded? Encrypted? Decrypted?

Hivyo kwa mujibu wa Magamba matatu ni hakuna umuhimu wa kupiga kura.
 
Nimekwelewa pasco. Samahani nyingi kwa britannica. Ila ajitahidi kuwa na code kwenye mada zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Sana Mkuu Massa, huu ni uungwana wa hali ya juu sana kusema sorry, Mkuu britanicca
nae afanye uungwana, japo huku kutaja taja majina kwake, kumetusaidia sana kumjua jamaa mmoja wa kihaya anaitwa Katto.

Lakini name calling is uncalling for kwa mtu wa caliber ya britanicca
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…