Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Basi tunaishia hapa kuhusu Katto
 
No Hutaki Unaacha ni mtu wa jikoni, kule kule kunako, Pasco wa JF ni lumpenproletariat mmoja mganga njaa fulani, anayegangia njaa kwenye ukanjanja wa habari.
P
Kweli mkuu kuna siku tulikutana kwenye uzinduzi wa kiwanda cha Total pale Temeke Vetenari ndiyo ulikuwa organizer ya ile kazi ila ulikuwa busy nikashindwa kukushtua.
 
Kweli mkuu kuna siku tulikutana kwenye uzinduzi wa kiwanda cha Total pale Temeke Vetenari ndiyo ulikuwa organizer ya ile kazi ila ulikuwa busy nikashindwa kukushtua.
Next time ukiniona, nisalimie tuu.
P
 
Mkuu Dudu Washa, sijashtuka, bali nimeshangaa tuu na kumuuliza Mkuu Britannica, jina la mleta mada hiyo ni Magamba Matatu, jina la Mzee Joseph Mauzi amelipata wapi na amelileta la nini?.
P
Hakika amekiuka sheria za jf, hiyo haikubaliki hata kidogo ,alichokifanya ni ramli chonganishi
 
Daa, JF unajifunza mengi, Nimeunganisha nyuzi na kupata habari kamili, kiukweli kukiwa na ubishani wa jambo mambo yanakuwa wazi. Aksante Britanica kuanzisha na Pascal kukoleza, hence False + False = Tautology
 
Mkuu Britannica, jina la mleta mada hiyo ni Magamba Matatu, jina la Mzee Joseph Mauzi

Umelipata wapi?.
Vipi umesahau mambo ya name calling.
P

Sauti kubwa ikasikika kutoka kundi la watu waliosimama kustaajabu juu ya unabii ule, ikasema, "Na utuambie tena basi, huyu mtabiriwa atakaa nasi hata lini? Na ajaye baada yake ni nani?"

Ukimya ukatanda na kutawala, kisha akasema, atazamaye na aone!
 
Daa, JF unajifunza mengi, Nimeunganisha nyuzi na kupata habari kamili, kiukweli kukiwa na ubishani wa jambo mambo yanakuwa wazi. Aksante Britanica kuanzisha na Pascal kukoleza, hence False + False = Tautology
Huyu britanicca nyuzi na post zake usomage kwa umakini sana lazima utatoka na moja la ziada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vichwa kama hivi ni vichache sana ulimwenguni.

Mi nadhan Mkuu Magalla ,naww ndo hawa hawa walotumika kutufikisha hapa.
 
Wewe mtabiri mzuri, mengi uliyoyatabiri ndio tunayoyaona katika utawala huu wa sasa hivi
 

There is no such a thing as top secrecy. Mambo yanatokea ili mambo yaweze kwenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…