Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Dah wa mwisho kawa wa kwanza...!!
Mkuu fanya mpango utufunulie tena yajayo tuone kama yatakuwa yanafurahisha ama laa..
 
"Mnaniona mimi nacheka cheka, basi atakae kuja atakuwa BULLDOZER".. Haya maneno aliyasema Raisi Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete..

"katika utawala wangu matajiri wataishi kama Mashetani"..
"Kila mtu atakijua kijiji chake, mtarudi kijijini kwenda kulima"

haya maneno aliwahi kuyasema Raisi wa Tanzania John Pombe Magufuli..

Magufuli hakuupata Uraisi wa Tanzania kwa bahati mbaya, Mipango ilianza kupangwa miaka 3 nyuma ya Magufuli Kuwa Raisi wa Tanzania, kigezo kikubwa alichokuwa nacho Magufuli ni mchapa kazi, anajiamini, anathubutu..

Nani HASA hawa MAGAMBA MATATU!!?? Hawa ni wale waliokaa kikao na kukubaliana nani awe Raisi, na vipi Tanzania itawaliwe kuanzia 2015..

MAGAMBA MATATU si wengine bali ni MAGUFULI, MKAPA na KIKWETE..
 
Muanzishie uzi wake bushiri huyo ili wana wamchambue. Wewe unabishana na mwana aliyeyasema haya 2012 ambapo hata moshi mweupe wa uchaguzi 2015 haujaonekana,

Huwezi linganisha na aliyesema chochote 2015
 
Umefail hujaeleweka rudi tena
 
Kwa hio wasiojulikana kumwaga damu za watu,kusomesha namba mlishapanga.Jua ni nature lzm litoke
Yes, haya yalipagwa miaka mitatu kabla ya uchaguzi,.. Magufuli hakuchukua nchi kibahati mbaya, alitayarishwa, alipangiwa nini afanye, na analindwa..

Yanayotokea Tanzania chini ya Magufuli ni mipango iliyopangwa kwa muda mrefu..
 
ng'wanamangilingili ndio wewe MAGAMBA MATATU??.. Tujuze Mkuu
 
Kumbe MAGAMBA MATATU bado yuko active JF, kumbe hajaingia mitini... August 21 alikuwa hewani
 
Yes, haya yalipagwa miaka mitatu kabla ya uchaguzi,.. Magufuli hakuchukua nchi kibahati mbaya, alitayarishwa, alipangiwa nini afanye, na analindwa..

Yanayotokea Tanzania chini ya Magufuli ni mipango iliyopangwa kwa muda mrefu..
Anga kujaa damu na kusomeshwa namba hayo nayo yalishapangwa?
 
Muanzishie uzi wake bushiri huyo ili wana wamchambue. Wewe unabishana na mwana aliyeyasema haya 2012 ambapo hata moshi mweupe wa uchaguzi 2015 haujaonekana,

Huwezi linganisha na aliyesema chochote 2015
Yalitabiriwa kabla ya uchaguzi 2015 ingia YouTube inatofauti gani na ya 2012,Then yote yaje kufanyika baada ya uchaguzi
 
Manji,MO,walifanya makosa gani tujuze.Bilicanas ilikuwa na kosa gani.Ufisadi upi hali vinara wa ufisadi wamepokelewa,wengine ni mabalozi kina dau,makengeza wako nje.Sema ni vita ya waliokinyume nao.Hizo biashara zilizohamishiwa nje je
 
Naogopa kusema kwamba "Yanatimia..."
 
Na uchumi ulipaa sana wakati huo maana viongozi walichapa sana kazi!!!
Nguvu kazi... kodi ya kichwa... uhujumu uchumi... bidhaa adimu... "TUKUTANE SARIDARAMU..."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…