Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Duuuuuuuh aseeeeeeeh ulikuwaa sahihi mkuu.
Na kuna watu wengi walipinga na kuonesha ujuvi wao kule mwanzoni, jamaa kazungumzia mpaka wasiojulikana tukiwa 2012. Kama ni kweli anaangalia mbali kwa namna hiyo, ana jicho la mwewe. Tumshawishi aendelee kushusha maono yake hapa.
 
Na kuna watu wengi walipinga na kuonesha ujuvi wao kule mwanzoni, jamaa kazungumzia mpaka wasiojulikana tukiwa 2012. Kama ni kweli anaangalia mbali kwa namna hiyo, ana jicho la mwewe. Tumshawishi aendelee kushusha maono yake hapa.
Huyu mtu aliyeandika hapa wakati huo, alikua kwenye system kuu ya chama. Alikua anajua kila kitu on the next.
 
Na kuna watu wengi walipinga na kuonesha ujuvi wao kule mwanzoni, jamaa kazungumzia mpaka wasiojulikana tukiwa 2012. Kama ni kweli anaangalia mbali kwa namna hiyo, ana jicho la mwewe. Tumshawishi aendelee kushusha maono yake hapa.
Hayupo rena duniani huyu. Ashatangulia peponi.
 
Huyu mtu aliyeandika hapa wakati huo, alikua kwenye system kuu ya chama. Alikua anajua kila kitu on the next.
Lakini kuyapangilia yajayo kwa mtiririko huo, tena ukiyaongelea yatakayotokea miaka 3 mbele na kudumu kwa miaka 5, sio suala la kuwa kwenye system ya chama tu. Ni uwezo binafsi haswa. Hatuna sera za miaka 200 ijayo kusema itafuata bila kujali mtawala au itikadi. JK alipowageuka watarajiwa wake, hata system ya chama isingeweza kusema tulikuwa tukienda wapi. Sasa kwa mfumo huo wa "itategemea nitaamkaje", kutabiri la lisaa lijayo tu ngondo aisee.
 
Ila ni kweli ana IQ kubwa huyu mtu. Pongezi zake but naskia katangulia mbele za haki.
 
Mnyonge mnyongeni haki yake apewe ulitabiri vizuri sana kwa mpangilio ulionyooka respect sana
 
Duhhhhh, thread ni 2012.

Ila, ni kama anazunguza ya leo.

Hongera kwa kuona mbali
 
Aisee Kilwa94 huyu jamaa amekufa lini ?Jamaa ana maono sana
 
Amefariki lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…