Haha kwahiyo vilaza ndio wanaishi miaka mingi?Huyu ashakufa nadhani. Hawezi kuwa na akili kubwa namna hii akaishi muda mrefu.
Ndiyo mkuu. Huyu jamaa alikuwa anajua. Siyo kitu Cha kawaida mtu akaeleza mambo ya miaka 3 ijayo kwa usahihi namna hii. Lazima alikuwa genius Sana.Haha kwahiyo vilaza ndio wanaishi miaka mingi?
Hayupo rena duniani huyu. Ashatangulia peponi.
JPM atashinda 2020Manabii bado wapo?
Kuu Magamba matatu jiwe ataweza kushinda urais 2020????
... hakuna marefu yasiyo na ncha!Tufukue makaburi...
[emoji26]... hakuna marefu yasiyo na ncha!