Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Kwanza huu Uzi upo POA Sana , jamaa una mwoona mzur, tosha niseme hvyo tyuu
 
Huyu Magamba matatu yupo?
Kama upo tukuombe utuandikie utabiri mwingine wa miaka mitatu ijayo.
 
Nchi ya Tz ina watu wenye maoni kweli.. too bad sio viongozi wa nchi. Big up kwa post hii
 
Nchi ya Tz ina watu wenye maoni kweli.. too bad sio viongozi wa nchi. Big up kwa post hii
Watu kama hawa kwa nchi ya Tanzania huwezi kupewa uongozi na wakikugundua tu wanakuundia zengwe uchomolewe. Politicians wengi ni average minds huwa hamuwataki kabisa mtu yeyote ambaye ni super state politician mwenye akili kuwazid iwe serikalini na ndani ya CCM ndio kabisaaa

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Una akili za ngapulila, Amiri jeshi mkuu ndio kila kitu anafuata CDF.

Na kwa taarifa yako CDF ni mtiifu kwa mama, hakuna takataka yoyote ya kumyumbisha mama na hizi propaganda uchwara.
 
Sasa naanza kuelewa cheo cha waziri Mkuu maana yake nini.
 
Mkuu tupe utabiri wako mwingine .huu umekamilika ulikuwa utabiri wa kweli tupu.
 
Unataka kuniambia mzee wa msoga ambae ndio mtu wa karibu wa mama !amemuingiza mkenge mama yetu!!!?ina Maana na YEYE hamtakii MEMA bi Tozo!!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…